Nyerere:Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
97,869
171,689
Nikiangalia namna CCM inavyosukwa upya na jinsi udumbuaji wa ruzuku ya CUF unavyowekwa hadharani na viongozi wa CUF ambao ni sawa tu na CHADEMA na vyama vingine vya upinzani nadiriki kusema Nyerere ni Nabii.
Ahsanteni!
 
Back
Top Bottom