Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,364
- 3,389
Huo ugonjwa unakolea sana kwenye baridi. Mvua au hali ya majimaji ndio mana Dar iliponyesha mvua siku nzima idadi ya wagonjwa ikadabo. Hii masika na hili gonjwa ndio hatari zaidi.Zipo hisia na tetesi kuwa sisi wenye asili halisi ya Africa hatupati msukosuko mkubwa mkubwa corona isipokuwa wenye maradhi mtambumbuka.
Zipo tetesi pia huko USA jumuia za weusi zinaongoza vifo kulikoni tupeni uzoefu.
Wasalam
cc: Nyani Gabu&Coy
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalieni video bbc.com/swahili dira ya dunia wahanga wengi USA ni jamii ya weusi wameweka na takwimu itupe elimu tujihadhari zaidi.
Source ya hii habari plzCorona inaua weusi zaidi ya weupe.
sio suala la kukosa huduma. Waingereza huduma ya afya ni bure na sawa kwa kila mtu lakini wamekufa weusini zaidi ya asilimia70.
hata madaktari wanaokufa weusi ni wengi zaidi.
jiandae weusi wanakufa wengi
Live longer mkuuWatu wananitaja sana wakati huu. Nafarijika.
Mimi nipo sana mkuu. Hakuna siku mwezi huu ambayo sijatuma post JF.
Mtu akisema hanioni, labda ni kwa sababu hajanifuatilia sana tu.
Nashukuru kuweza yafuatayo.
1. Nina uwezo wa kukaa ndani kwa miezi sita, nikiwa natoka nje ya nyumba yangu mara moja kwa mwezi kununua chakula tu.
2. Nina uwezo wa kufanya kazi kutoka nyumbani.
3. Nina uwezo wa kuacha kazi ninayoifanya sasa na kuanza nyingine nzuri zaidi mpya, katikati ya pandemic.
4. Nina uwezo wa kuihakiki familia yangu Tanzania iko na mazingira ya kuwa salama. Nimetoka kuwanunulia wazee chakula cha miezi sita. Kuwatumia wadogo hela za manunuzi hayo.Baada ya wazee na wadogo kukataa mchqngo na kusema hawahitaji mchango huo kwa sababu kwao "food security" ni suala la kawaida kila siku. Wana stock ya kutosha kila siku. Na nikakumbuka parties zetu tangu adoleacence Oysterbay, ilikuwa watu wageni wanaingia ndani ya gate kula na kusaza pilau na soda bila hata kuulizwa card, sishangai. I am talking hundreds to thousands of people. Lakini, nimechangia kuhakiki tu.
5. Hata yakitokea mabaya kabisa nikaondoka, familia yangu iliyobakia haitahangaika. Nina insurance, nina real estate investments, nina stocks, nina 401k, nina cash, nina gold, nina vingine vingi hata siwezi kuvisema.
Short of discovering a cure or a vaccine for Covid-19, something I have neither training nor realistic expectations of attaining, what more could I want?
Mimi niko worried kuhusu Tanzania kuliko nilivyo worried kuhusu mimi.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Good looking out son!Live longer mkuu
MTz uko Chicago, nini kinakufanya uwe masikini? Na inaelekea umeikubali hiyo hali unajihesabu kama mmoja wa hao wazaliwa wa huko?Apa Chicago tupo weusi wengi ,ila wengi wetu ni maskini na maisha duni sana.So kinachosababisha weusi wengi kukataa roho kwa this fucken Chinese Virus ni maisha magumu sana...So many blacks are stressed, homeless, sick n no food ,no money .....Just pray for us buddy
Dah!afadhali nimekuona kaka.Niwatakie afya njema wewe na family huko mliko.Kila la kheri.Mkuu nipo poa, ndiyo kwanza nimepata kisingizio cha kukaa ndani, na sababu ya kupunguza shoppings zisizo na ulazima.
Maana nilikuwa napata mialiko ya parties mingi sana nilikuwa nakosa muda wa kusoma, kuangalia movies, kuongea na familia na kusikiliza muziki.
Nipo ndani ya nyumba mwezi sasa.
Huku Marekani Coronavirus kiukweli inapunguza vifo vya watu kiujumla.
Shukurani kwa kujali.
Sawa...ila ni imani ujaelewa post yangu..Poverty is every where in this World..Waafrika kuja huku US sio kwamba wanakua matajiri we just try our luck buddyMTz uko Chicago, nini kinakufanya uwe masikini? Na inaelekea umeikubali hiyo hali unajihesabu kama mmoja wa hao wazaliwa wa huko?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaniii be safe bana.Tuombeane tu maana hakuna namna
Watu wanapukutika vibaya na kila siku Bora Jana ila tunajipa moyo tu
Takwimu zinapanda na zinashuka ila wengi wamerudisha namba
katika kila watano wanaokufa mmoja kafa kwa Corona
Wanakolelea wazee ndio usiseme zaidi ya 4000 wamekufa
Na sasa wanapimwa wote kwenye Nursing homes
Jamani hili gonjwa halina utani
Fuateni ushauri
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ugonjwa unashambulia Kani chuma kwenye mapafu zinazobeba hewa nakshi kwenye chembe nyekundu, sidhani Kama hizi zinatofautiana Kati ya mtu mweusi na mzunguZipo hisia na tetesi kuwa sisi wenye asili halisi ya Africa hatupati msukosuko mkubwa mkubwa corona isipokuwa wenye maradhi mtambumbuka.
Zipo tetesi pia huko USA jumuia za weusi zinaongoza vifo kulikoni tupeni uzoefu.
Wasalam
cc: Nyani Gabu&Coy
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalieni video bbc.com/swahili dira ya dunia wahanga wengi USA ni jamii ya weusi wameweka na takwimu itupe elimu tujihadhari zaidi.
AiseeSiku ukijua Nyani Ngabu yuko Misungwi na hajawahi kuvuka alau Shinyanga utarudi uniambie
Asante sana.Dah!afadhali nimekuona kaka.Niwatakie afya njema wewe na family huko mliko.Kila la kheri.
Jamaniii be safe bana.