Mwanza sales
Senior Member
- Nov 17, 2015
- 193
- 89
Ni kiwanja chenye hati,kipo bwiru Mwanza karibu na iliyokuwa Golden Gate Hotel maeneo ya Hotpot.bei milioni 25,anaehitaji nicheki kwa Namba [HASHTAG]#0742159555[/HASHTAG]
Sq 600Kina ukubwa gani?
bei gani unauza hicho kiwanja
bei gani unauza hicho kiwanja
Milioni 25bei gani unauza hicho kiwanja
Gari linafika hadi ndani ya kiwanjaKufikika je?
Ongeza ifike milioni 5 nikupe nyumba bado kupaua na Madirisha kati ya igoma na mkolaniNitafutie kiwanja cha mil mbil na nusu mkuu