Number One - Diamond REMIX!!!

Number One - Diamond REMIX!!!

wickerman

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
408
Reaction score
252
ILE REMIX YA NGOLOLO ILIYOFANYIKA NIGERIA ILIYOKUWA INASUBIRIWA KWA HAMU HII HAPA ISIKIE WA KWANZA....

Kwanza mapenzi SAFARI, ujana ni CASTLE ya moto, nilikunywaga zamani! Mmmh!

Pili 2metoka mbali,
toka kipindi cha MNAZI!
VILITA mbil fulanii....

Oooh tatuu, GONGO ya kwako kwangu MARADHIII!

Kila umwagikapo kwangu SIMANZIII...

Kwa stimu ulizonipaa....

Nimenogewa, kuyumba KUPEPESUKA,
ooh...! Punguza kidogo...

KUANGUKA kadhalika GONGO c unanielewa....

LITA tano nlizokunywa, ukiongeza kidogo mi mwenzako NTAZIMA..




 
unahama hii nchi kabla ya kesho while

2 0 1 4 is loading.....................
 
aha ha aha ha.! spati picha kwenye chorus itakua maneno gAni... endelea bhas
 
ILE REMIX YA NGOLOLO ILIYOFANYIKA NIGERIA ILIYOKUWA INASUBIRIWA KWA HAMU HII HAPA ISIKIE WA KWANZA....

Kwanza mapenzi SAFARI, ujana ni CASTLE ya moto, nilikunywaga zamani! Mmmh!

Pili 2metoka mbali,
toka kipindi cha MNAZI!
VILITA mbil fulanii....

Oooh tatuu, GONGO ya kwako kwangu MARADHIII!

Kila umwagikapo kwangu SIMANZIII...

Kwa stimu ulizonipaa....

Nimenogewa, kuyumba KUPEPESUKA,
ooh...! Punguza kidogo...

KUANGUKA kadhalika GONGO c unanielewa....

LITA tano nlizokunywa, ukiongeza kidogo mi mwenzako NTAZIMA..





Umetisha mbaya.
 
Hawa nadhani wanacheza ile ya Mwana Fa -Cheza bila kukunja goti.
 
ILE REMIX YA NGOLOLO ILIYOFANYIKA NIGERIA ILIYOKUWA INASUBIRIWA KWA HAMU HII HAPA ISIKIE WA KWANZA....

Kwanza mapenzi SAFARI, ujana ni CASTLE ya moto, nilikunywaga zamani! Mmmh!

Pili 2metoka mbali,
toka kipindi cha MNAZI!
VILITA mbil fulanii....

Oooh tatuu, GONGO ya kwako kwangu MARADHIII!

Kila umwagikapo kwangu SIMANZIII...

Kwa stimu ulizonipaa....

Nimenogewa, kuyumba KUPEPESUKA,
ooh...! Punguza kidogo...

KUANGUKA kadhalika GONGO c unanielewa....

LITA tano nlizokunywa, ukiongeza kidogo mi mwenzako NTAZIMA..





Hahahaa haaaa uwiii nimecheka

nimeipenda hii picha
 
Thanx, all of u, glad kuona mmefurahi, hahaaaa
 
Back
Top Bottom