Ntaipata wapi 'jezi ya CCM- mpya'?

Mikopo Chefuchefu

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2017
Posts
3,373
Reaction score
6,805
Hivi hizi jezi zishaingizwa sokoni au bado? Naziona moja moja.. Natafuta kama hizo tatu.. C mnajua 2020 hii?
 
basi nimeoma 13th,,sasa mboma kama dr anaungama flani hivi kwa katibu mstaafu,
Lkn mbele ya media anamtupia madongo !!?
 
Hilo jezi halina tija mtaani. Hivi karibuni halitavalika kabisa, Mfano mdogo unadhani wale madiwa 5 wa mitambo maalum ya Bashiru na polepole waliofika bei watavaa vazi hilo mtaani kigoma?
Lingekuwa na tija mtaani wangelivaa mitaa ya ujiji kwanza ,kinyume chake wamevalia mitaa ya Lumumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…