NTA levels

Kyabashasa

Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
10
Reaction score
4
Jamani naomba kujua kuhusu diploma levels hizi wanaita NTA 4,5 na 6 naelewa 4 ni basic technician certificates 5 ni technician certificate na 6 ni ordinary diploma sasa swali langu je maximum GPA ni sawa kwa hizo levels kwamba zote zina maximum GPA ya 5? Ama kila NTA Ina maximum GPA yke?
 
Ninavyoelewa kila level inatakiwa ijitegemee na pia ina GPA yake. NTA4 na NTA5 base ya GPA yake ni 4 na NTA 6 base yake ni 5. Sijui kwa nini wamefanya hivyo.
Kinacho nichanganya kwa ajili ya kudahiliwa TCU (degree) wanacalculate GPA vipi? Je wanatumia GPA ya NTA 6 peke yake au wanachanganya na ile ya NTA 5 (vyuo vingi Diploma ni miaka 2-NTA 5 and 6) ? Kuna chuo kama DIT Diploma yao ni miaka 3 (sawa na vyuo vya afya) -GPA kwa ajili ya udahili kupitia TCU inapatokanaje hapa?. Kuna vyuo certificate ni miaka 2 na Diploma ni mwaka mmoja (mfano vyuo vya mifugo) hapa GPA unaipataje?.
 
Kuhusu degree niliskia wanaangalia degree ya mwisho ile ya NTA 6 ndo nilickia hivo japo sina uhakika
 
Nijuavyo kwa udahili wa TCU wanaangalia average GPA ya mwaka wa diploma kwa sababu hizo ni level tofauti.
 
Nijuavyo kwa udahili wa TCU wanaangalia average GPA ya mwaka wa diploma kwa sababu hizo ni level tofauti.
Sidhani! Make ukiangalia kitabu chao cha TCU wamespesfy kabisa kwamba a minimum GPA of 3.0( NTA level 6) sasa ingekuwa average wacngefanya specification ya kuweka NTA level 6 kwa blackets
 
CLASS AWARD CUMULATIVE GPA

Level 4
FIRST CLASS 3.5 to 4.0
SECOND CLASS 3.0 to 3.4
PASS 2.0 to 2.9

Leve 5
FIRST CLASS 3.5 to 4.0
SECOND CLASS 3.0 to 3.4
PASS 2.0 to 2.9

Level 6
FIRST CLASS 4.4 to 5.0
UPPER SECOND CLASS 3.5 to 4.3
LOWER SECOND CLASS 2.7 to 3.4
PASS 1.0 to 2.6
 
Umeeleweka sana mkuu asante sasa swali linabaki kwenda degrees wanaangalia wapi wanaconsider level IPI?
 
Sidhani! Make ukiangalia kitabu chao cha TCU wamespesfy kabisa kwamba a minimum GPA of 3.0( NTA level 6) sasa ingekuwa average wacngefanya specification ya kuweka NTA level 6 kwa blackets
Uko sawa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…