baadhi ya wa2 walicomplain kwamba interview ya kwanza walimiss coz walichelewa kupata taarifa na wengine hawakutumiwa kabisa sms, sasa nssf wameamua kuandaa tena aptitude kwa wale ambao hawakufanya interview bt walikuwa na interest. Kama ww ulifanya bt umepigiwa sasa dat meanz uliomba nafac zaidi ya 1, so kwny data zao kuna nafac unaoneka umemiss interview. So ni kwl wanawapigia wa2 na interview ni jmoc pale ifm, mchakato unazidi kurefushwa.. Ckilizieni 2