Pole wakutomboka, bado unaziwaza hizo ajira za nssf? Kwanza unatakiwa ujisahili kuanzia dini yako mpaka ubini wako, kama watarajia credentials zako zikubebe hakika ndo utaijua kushnei.
Pole wakutomboka, bado unaziwaza hizo ajira za nssf? Kwanza unatakiwa ujisahili kuanzia dini yako mpaka ubini wako, kama watarajia credentials zako zikubebe hakika ndo utaijua kushnei.
Pole wakutomboka, bado unaziwaza hizo ajira za nssf? Kwanza unatakiwa ujisahili kuanzia dini yako mpaka ubini wako, kama watarajia credentials zako zikubebe hakika ndo utaijua kushnei.
pole kaka hauko peke yako hata mimi nimo kati ya wale waliofanya hiyo interview yao pia nimo kati ya wale wanaoishia kutma barua nyingi ila kuitwa kwenye interview ni nadra kama maskini kula pilau ya kuku wa kienyeji
Ha ha ha ha ha,usiwaze sana wewe endelea na shughuli zako za kutomboka wakiita tu utajuzwa humu humu jamvini wala usihofu wakutomboka tuliza mawazo bado hawajaita!