4. Kwenye TEHAMA, PPF ilikuwa ikifanya shughuli zake kwa kutumia mifumo ya kielektroniki tangu mwaka 2008 wakati NSSF ilikuwa ikiendesha mifumo yake manually kwa 80%. Kabla ya bwana Erio kuletwa, Shirika letu la NSSF lilishatumia shilingi bilioni 12 kuweka mifumo ya kielektroniki bila mafanikio. Aibu gani hii
Kuna marehemu mmoja alikuwa mshika dini Sana Kama director of IT nilidhani alipigania Mambo ya kawa sawa Marehemu Said. Hebu nipe mwanga kidogo juu ya hili
Lakin mbona ninasikia baadh ya wilaya wanalipwa zote? I la mm nilikua na kapesa kangu na madai yangu niliyaelekeza ubungo plaza ninapata 33.3 kila mwez ndugu