NSSF si shamba la bibi tena

Wakati mwingine mtu anafukuza mwizi si kwa sababu ni mwema sana bali anataka aibe yeye.
 
NSSF Kilimanjaro wamejenga jengo kubwa na zuri Cha ajabu like jengo nafkir linakaribia 10years na bado halijaa Cha ajabu NSSF Kilimanjaro wamepanga na wanalipa Kodi ya pango ilhali wanajengo zuri tuu nalakisasa na bado halijaa mpaka leo wanahangaika kutafuta wapangaji
 
Huwezi kufuta ukweli kwa kujitetea kwa hoja za kijinga, mjadala ulioanzishwa ulikuwa na ukweli 100%, na usidhani rais ni mjinga kwa kusoma utetezi wako wa kijinga, sema kama ufanisi umeongezeka kwanini ulikuta projection ya collection 18/19 ikiwa 1.+++trilion we ukashusha hadi 760b?
Tuonyeshe saving zako za kiuhalisia ukilinganisha na watangulizi, ni uongo majengo yanaribika bila matengenezo?
Ppf ilikuwa hata kulipa lumpsum walishindwa iweje uje na pumba huku, acha Rais afanye ajuavyo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hizi kelele zote inazungumziwa NSSF IPI, ni hii ambayo HQ yake ni pale jirani na DIT?
Ni hii ambayo imekataa kuwalipa walioachishwa kazi mafao yao?
Ni hii ambayo kama umestaafu ukienda kufuatilia mafao wanaanza kukuambia kadi zimebadilishwa na kuipata kadi mpya kila Siku mashine mbovu toka April mwaka Jana hadi leo?
Tuwe serious kidogo kwenye mambo ya msingi. Kama ni kwa sababu ya uongozi mpya ni heli ule wa zamani uliokuwa na wapigaji na wanachama hatukunung"unika kiasi cha sasa.
Kama na wewe mtoa mada ni mfanyakazi wa NSSF kuna tusi nimekutukana kubwa sana linalohusiana na ulipotokea kuiona dunia.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ndio mmejipanga formation ya kusafishana...poor mind.Lipeni mafao yetu kwa wakati acheni porojo nyingi!


Sent using iPhone Xr
 
Hongera Sana urio umefanya kazi iliyotukuka,ndani ya miaka mitatu tu umeifanya nssf kuwa shirika namba moja Tanzania kwa mapato na kuongoza Kim's Cha mshahara kufikia kiwango kinachoridhisha
 
Hongera Sana urio umefanya kazi iliyotukuka,ndani ya miaka mitatu tu umeifanya nssf kuwa shirika namba moja Tanzania kwa mapato na kuongoza Kim's Cha mshahara kufikia kiwango kinachoridhisha
Wengi wanaulizia fao la kujitoa na wanasema bila hilo fao kuwepo yaliyoandikwa yote ni upupu mtupu. Wakati wa Rama Dau mtu alikuwa akilipwa fasta tu...ndani ya wiki mbili...kwa sasa hali ikoje?
 
Nisawa kila mtu aongee anavyojisikia, ila wastaafu wanateseka sana kutokana na mafao yao.
Kabisa mkuu tena wanawazungusha sana...utakuta mtu ni ni mgonjwa uzeeni tena changamoto zake ila wanamzungusha ili afe wapige izo hela ndio michezo yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…