NSSF Rekebisheni hili

NSSF Rekebisheni hili

Joined
Jul 6, 2012
Posts
40
Reaction score
26
Habari zenu kwa ujumla?
Reference ya pendekezo langu inatokea ofisi ya NSSF Temeke. Hili linahusu kupatikana huduma zenu kuanzia saa saba mchana (13hrs) mpaka saa nane (14hrs).
Mara nyingi baadhi yetu tunaleta michango yetu muda huu na tunalazimika kuwasubiri kwa saa nzima mpaka muda huu upite ndipo mtuhudumie. Kwa hali ilivyo sasa kupoteza saa nzima tena mchana ni gharama sana, nawashauri kwa nia njema muweze kuboresha hii hali, tumieni njia zinazotumiwa na ofisi mbali mbali kutoa huduma muda wote, kuwasubiri saa nzima tunapoteza resources kubwa sana.
Huu ni ushauri wangu kwenu
 
Habari zenu kwa ujumla?
Reference ya pendekezo langu inatokea ofisi ya NSSF Temeke. Hili linahusu kupatikana huduma zenu kuanzia saa saba mchana (13hrs) mpaka saa nane (14hrs).
Mara nyingi baadhi yetu tunaleta michango yetu muda huu na tunalazimika kuwasubiri kwa saa nzima mpaka muda huu upite ndipo mtuhudumie. Kwa hali ilivyo sasa kupoteza saa nzima tena mchana ni gharama sana, nawashauri kwa nia njema muweze kuboresha hii hali, tumieni njia zinazotumiwa na ofisi mbali mbali kutoa huduma muda wote, kuwasubiri saa nzima tunapoteza resources kubwa sana.
Huu ni ushauri wangu kwenu
Hio saa saba mpaka saa nane hao wafanyakazi huwa wanaenda wapi kwani?
 
Hio saa saba mpaka saa nane hao wafanyakazi huwa wanaenda wapi kwani?
Haieleweki aisee, huwa nashangaa ikitokea umefika muda huo ujue umeshaharibu siku. Najiuliza hii kama ni tawi hili tu au matawi yote, haieleweki
 
Back
Top Bottom