NSSF Mwanza ni mafisadi au ni system za serikali?

NSSF Mwanza ni mafisadi au ni system za serikali?

Entim

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
4,024
Reaction score
2,271
nakutana na watu wana zaidi ya miezi 8 sasa tangu wameomba kujitoa aidha kwa sababuza kufukuzwa au kujiachisha ajira. Hawa jamaa walikuwa wanatia huruma.
Kwa kuwa nilikuwa na jamaa yangu ambaye ni dereva nilifanyanaye kazi mwaka 2007 nikiwa CARE International , huyu jamaa kaniambia eti bilakutoa chochote utazungushwa hadi mafaoyako yote zitaishia kwenye nauli.
Nilipocheki salio nambiwa mwajiri wako hajaingiza mafao yakotangu mwaka 2006 wakati documents zote za mwajiri wangu zinaonesha, mfanyakazimwingine alibuka usingizini kadakia etiinawezekana ni system zetu we omba tumafao yako yatainingizwa.
Jamani nisaidieni ikiwezekana nisindikizwe naPCCB maana sitaki kutoa hata ct, jasholangu. Traffiki anidai rushwa na nssfstaff wanidai rushwapia??????
 
Hiyo ndo jamii ilooza - jamii ya watanzania wanaoongozwa na chama cha majambazi - chezea ccm wewe! chezea serikali yake na taasisi zake zote. Hata hao wanaopambana na rushwa ni viini macho tu, we kama unamiliki chenye ncha kali vizia mfanyakazi mmoja mpe mambo tu.
 
hiyo ndo Tz so Mwanza pekeee kote watu wanacheki salio halionekani unauliza waambiwa njoo wiki ijayo
 
wakikuzungusha sana nenda kwa mkuu wa mkoa,ye si mwakilishi wa rais komaa naye hakuna kutoka hadi upatiwe haki zako.
 
Back
Top Bottom