humu JF kuna watakao kusaidia kwa nia njema, pia kinawatakao kutapeli usipokaa sawa, la mwishi kuna matakokuru watakao taka kula pesa yako pia just be smart ,
bado namlilia Gaddafi si kwamba alikuwa hana mabaya bali nikipima mabaya na mazuri aliyowatenda naona mabaya yako kiduchu na yeye si ati alikuwa malaika....