Mjuni Lwambo JF-Expert Member Joined Apr 25, 2012 Posts 11,719 Reaction score 13,423 Jul 28, 2016 #2 Imekuwaje mkuu, umestaafu au umeeacha kazi? Umeshapata pesa zake au bado?
Egwugu JF-Expert Member Joined Mar 16, 2011 Posts 17,558 Reaction score 8,551 Jul 28, 2016 #3 Hao jamaa ndo zao, kuongelea wizi moshi ni sawa na kuzungumzia makofi kituo cha polisi
P Pohamba JF-Expert Member Joined Jun 2, 2015 Posts 27,626 Reaction score 61,254 Jul 28, 2016 #4 Mchagga na wizi ni sawa na Kilainishi na ushoga
rr4 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2015 Posts 3,947 Reaction score 5,857 Jul 28, 2016 #5 Kuna vidada viwili pale reception na mama mmoja .... ni majipu tu, hawana kauli wala hawajui kuelekeza kitu. Nadhani muda umefika nao watumbuliwe either kwa kuangalia qualification zao au kwa kauli zao..
Kuna vidada viwili pale reception na mama mmoja .... ni majipu tu, hawana kauli wala hawajui kuelekeza kitu. Nadhani muda umefika nao watumbuliwe either kwa kuangalia qualification zao au kwa kauli zao..
bajok Senior Member Joined Jun 6, 2016 Posts 161 Reaction score 72 Jul 29, 2016 #6 Pohamba said: Mchagga na wizi ni sawa na Kilainishi na ushoga Click to expand... acha ujinga dogo
Nitekenye New Member Joined Jul 27, 2016 Posts 2 Reaction score 2 Jul 29, 2016 #7 Mimi nawadai hela yangu nimechoka nimeamua kuwaachia tu