doctor of philosophy
Member
- Jul 20, 2024
- 43
- 100
Hahaha ajiandae kuthibitisha uwepo wa Mungu,Ngoja atheist waje, jiandae vyema unless uzi wako utaukimbia
Nafikiri andiko langu limetumia lugha ya kawaida I.e imeeleweka vyema so nafikiri wale malegend watakuwa wanaelewa lkn wale ma hopeless ndo wata taka evidence wakati nishasema mtu anaweza kuescape tuHahaha ajiandae kuthibitisha uwepo wa Mungu,
Mimi nina swali tu,Habari zenu wakuu, bila shaka nyote ni buheri wa afya, kwa wenye magonjwa mola atawasaidia.
Pasi na kupoteza muda naomba niende kwenye lengo la andiko langu.kumekuwa na habari nyingi kuhusu Mt Rita wa kashia,hii imepelekea baadhi yetu kuwa na mitazamo hasi hasi hasa kwa dini yetu hii ya kikristo
Maana yangu ni nini.ieleweke wazi kuwa tunae muomba si mt Rita bali tuna muomba MUNGU Baba,muumba mbingu na nchi, lakini haya msombezi yetu tunayatanguliza kwa watakatifu akiwemo mt Rita wa kashia ili aweze kutuombea kwa mungu baba
Jamani ni kweli kabisa ukiomba kupitia mtakatifu Rita,unajibiwa.actually mim nasali dhehebu la Anglican but nimeanza kumjua Mt Rita since nipo secondary na hajawahi niangusha kila nilipo kuwa nikiomba anisaidie katika masomo nimekuwa ni mwenye kufaulu tena ufaulu mkubwa hadi kuongoza darasa lenye zaid ya watu 200+ mpaka namaliza form hata matokeo yangu ya necta ni mazuri tu
Lakini pia mbali na kunisaidia katika masomo juzi juzi kuna changamoto imenikumba kiasi kwamba nilikata tamaa,lakini still bado kanitendea makubwa sana.iko hivi kuna suala lilikuwa likinisumbua,sasa mbaya zaidi hadi watu wangu wa karibu ambao najua fika kabisa wanao uwezo wa kunisaidia nao pia wakasema hawawezi maybe wajipange mwakani,kiukweli niliumia sana kiasi kwamba nilikata tamaa kabsa ya kuishi,niliona kabisa sina faida yoyote duniani kwani ndugu nilo nao wameshindwa kunisaidia.ilifika kipindi nikawa nashinda porini tu,hata kula nilikuwa sili wakati mwingn, nilikuwa ni mtu mwenye kulia kila muda.lakini sikuacha kumuomba mungu kupitia mt Rita, Mt wa mambo yaliyoshindikana
Kweli naapa kwa jina la mungu katika wimbi kubwa la kukata tamaa alinisaidia,nashindwa kuelewa ilikuwaje mpaka saivi naendelea na masomo,hili tukio hata mwezi halijaisha
Nimeleta ujumbe huu mwenye kumfaa aufanyie kazi mtu akiona haumfai anaweza acha kama ulivyo pasipo kutumia kejeli na kebehi kwani andiko hili si riwaya useme uhakiki madhaifu na mapungufu ya mwandishi,kwa minajili ya kuhakiki kazi ya fasihi.malegend mtakuwa mmenielewa ila wale watoto wa fb najua wata oppose ama kukejeli hiki nilichoandika
Pia kwa wenye ushuhuda kama mm karibuni tu share huko kwenye comments ili tuzidi kuwa fumbua macho vipofu.tumsifu yesu kritu,bwana yesu asifiwe,
#Doctor of philosophy
Swali la msingi sana hiliMimi nina swali tu,
Unafikiri ungemwomba Mungu wewe mwenyewe asingekujibu kama ulivyomwomba kupitia kwa Mtakatifu Rita?
Nina kukumbusha tu ndugu yangu;Habari zenu wakuu, bila shaka nyote ni buheri wa afya, kwa wenye magonjwa mola atawasaidia.
Pasi na kupoteza muda naomba niende kwenye lengo la andiko langu.kumekuwa na habari nyingi kuhusu Mt Rita wa kashia,hii imepelekea baadhi yetu kuwa na mitazamo hasi hasi hasa kwa dini yetu hii ya kikristo
Maana yangu ni nini.ieleweke wazi kuwa tunae muomba si mt Rita bali tuna muomba MUNGU Baba,muumba mbingu na nchi, lakini haya msombezi yetu tunayatanguliza kwa watakatifu akiwemo mt Rita wa kashia ili aweze kutuombea kwa mungu baba
Jamani ni kweli kabisa ukiomba kupitia mtakatifu Rita,unajibiwa.actually mim nasali dhehebu la Anglican but nimeanza kumjua Mt Rita since nipo secondary na hajawahi niangusha kila nilipo kuwa nikiomba anisaidie katika masomo nimekuwa ni mwenye kufaulu tena ufaulu mkubwa hadi kuongoza darasa lenye zaid ya watu 200+ mpaka namaliza form hata matokeo yangu ya necta ni mazuri tu
Lakini pia mbali na kunisaidia katika masomo juzi juzi kuna changamoto imenikumba kiasi kwamba nilikata tamaa,lakini still bado kanitendea makubwa sana.iko hivi kuna suala lilikuwa likinisumbua,sasa mbaya zaidi hadi watu wangu wa karibu ambao najua fika kabisa wanao uwezo wa kunisaidia nao pia wakasema hawawezi maybe wajipange mwakani,kiukweli niliumia sana kiasi kwamba nilikata tamaa kabsa ya kuishi,niliona kabisa sina faida yoyote duniani kwani ndugu nilo nao wameshindwa kunisaidia.ilifika kipindi nikawa nashinda porini tu,hata kula nilikuwa sili wakati mwingn, nilikuwa ni mtu mwenye kulia kila muda.lakini sikuacha kumuomba mungu kupitia mt Rita, Mt wa mambo yaliyoshindikana
Kweli naapa kwa jina la mungu katika wimbi kubwa la kukata tamaa alinisaidia,nashindwa kuelewa ilikuwaje mpaka saivi naendelea na masomo,hili tukio hata mwezi halijaisha
Nimeleta ujumbe huu mwenye kumfaa aufanyie kazi mtu akiona haumfai anaweza acha kama ulivyo pasipo kutumia kejeli na kebehi kwani andiko hili si riwaya useme uhakiki madhaifu na mapungufu ya mwandishi,kwa minajili ya kuhakiki kazi ya fasihi.malegend mtakuwa mmenielewa ila wale watoto wa fb najua wata oppose ama kukejeli hiki nilichoandika
Pia kwa wenye ushuhuda kama mm karibuni tu share huko kwenye comments ili tuzidi kuwa fumbua macho vipofu.tumsifu yesu kritu,bwana yesu asifiwe,
#Doctor of philosophy
Imani bro imani, anaeomba kupitia Mt Ritha akafanikiwa maana yake ana imani katika hilo, ukiomba kupitia Yesu ni imani yako na unafanikiwa, kuna mwingine kaenda kwa mtaalamu kachoma na kuoga dawa huko kafanikiwa imani yake..... IMANIKwa Imani na mafundisho niliyopata anayeweza kutuombea ni yule aliyefufuka tu. Sasa hao watakatifu waliokufa na Hakuna sehemu imesemwa wamefufuka sasa wanakuombeaje? Naomba nieleweshwe
What a Logical question....!! Safi sana Mkuu.Mimi nina swali tu,
Unafikiri ungemwomba Mungu wewe mwenyewe asingekujibu kama ulivyomwomba kupitia kwa Mtakatifu Rita?
Kwahiyo alifanya Interview badala yako na Wewe ulikuwa Nyumbani Kwako? Ninaanza kuamini Wehu ni wengi Nchini.Mt.Rita Alinisaidia nikapata kazi.
Nafikiri mkuu maana ya Imani unaifahamu.hata nikiamka leo na nikaenda kuabudu mibuyu kwa imani I hope nitajibiwa, kwa hiyo ni issue ya iman mkuu,na sio kudharau au kukejeli imani za watuKwahiyo alifanya Interview badala yako na Wewe ulikuwa Nyumbani Kwako? Ninaanza kuamini Wehu ni wengi Nchini.
Mt Rita ndio kakusaidia kupata kazi duu ? Nachojua Yesu ndio mwenye mamlakaMt.Rita Alinisaidia nikapata kazi.
Ok bro ambacho nimekuelewa ni kwamba Kikubwa ni imani sio. Basi tusiwe tunawananga wanaoomba kwa mizimu ya mababu zao. Maana hofu yangu ilikua ni upande wa Kidini ya Ukristo. Maana kuomba kwa hao watakatifu ni sawa tu wanaoomba kwa mizimu ya akiafrika.Imani bro imani, anaeomba kupitia Mt Ritha akafanikiwa maana yake ana imani katika hilo, ukiomba kupitia Yesu ni imani yako na unafanikiwa, kuna mwingine kaenda kwa mtaalamu kachoma na kuoga dawa huko kafanikiwa imani yake..... IMANI
Niliwahi kuongea na mtu kuhusu kuomba kupitia watakatifu alinijibu kwa mfano, wewe ukiwa mgonjwa haujiwezi unaamka kwenda kwa Dr mwenyewe? Hapana, unakuwa na msaidizi.....hivyo ndivyo maombi kupitia watakatifu yanafanya kazi....all in all IMANI
Hapo jibu linarudi kule kule IMANI...Ok bro ambacho nimekuelewa ni kwamba Kikubwa ni imani sio. Basi tusiwe tunawananga wanaoomba kwa mizimu ya mababu zao. Maana hofu yangu ilikua ni upande wa Kidini ya Ukristo. Maana kuomba kwa hao watakatifu ni sawa tu wanaoomba kwa mizimu ya akiafrika.
Huyo mfano wako wa ukiwa mgonjwa hujiwezi na usaidizi. Sijui kama unafit kwa hapa tunachokisema. Watakatifu wafu wanachukua nafasi kubwa kuliko Jina lenye nguvu na Mamlaka Hapana.