Note 3 sokoni

Note 3 sokoni

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,504
Reaction score
8,253
iko vizuri sana kwa 120,000 tu
ImageUploadedByJamiiForums1455105876.656841.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1455105894.591046.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1455105913.125632.jpg
 
Note 3 kwa 120,000!!
Mi napita kwa bei hyo kuna walakini
Hamuoni dawati, daftari na pen hapo? Inawezekana kabisa ni simu original, sometimes maisha ya shule yanamfanya mtu afanye hivyo. Nadhani nyote mmepitia huko.

Nakumbuka nikiwa first year nilinunua Samsung digital camera, nilikuja kuiuza mwaka wa 3 baada ya habari kuchanganya. Nikaona isiwe taabu, nina asset ndani kwa nini nisiuze! Nikauza bei tofauti na niliyonunulia.
 
Dah..hiyo yako itakuwa toleo jipya naona inasoma 4G...
 
Huwezi tuma kwa Mabasi yanayokuja Dar? Maana kuna kampuni za mabasi zinazosafirisha mizigo
kwa hilo itabidi utume kwanza pesa afu ndo nikutumie simu
 
ImageUploadedByJamiiForums1455276939.769979.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1455276955.439724.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1455276967.072004.jpg

nyingibe hiyo hapo vodafone 785 kwa 70,000 tu. iko vizuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom