economista
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 291
- 248
It has nothing to do with Japanese, most of alteza were not designed to make noise but they are being modified here in Tanzania to produce all that freaking noise.Waambie wajapan
It has nothing to do with Japanese, most of alteza were not designed to make noise but they are being modified here in Tanzania to produce all that freaking noise.Waambie wajapan
I was not talking about Teza, sio mpenzi wazo, am talking about WRX, Impreza, forester, Legacy and its STI's engines.It has nothing to do with Japanese, most of alteza were not designed to make noise but they are being modified here in Tanzania to produce all that freaking noise.
Ok got you rafikiI was not talking about Teza, sio mpenzi wazo, am talking about WRX, Impreza, forester, Legacy and its STI's engines.
Mkuu, watu wana haraka ya Ku post utafikiri wameitwa na kamishna Sianga.mkuu ni NOSE au ulimaanisha NOISE?
Hili limeandikwa juu hapo, kama huna la kucoment piga kimya!Umenishitua et Nose pollution.
Nose=Noise
Utamu kuendesha cheap a$$ car? Kuwapigia wenzako kelele ndo utamu?Ndio product zao, ile ni systm inayokuja na gari kutoka kiwandani(hasa subaru). Na wewe unaona linakera coz hujawahi kuendesha yule mnyama ila trust me siku ukiendesha ukajua utamu wake utakuja kutengua huu uzi Mkuu.
Wewe siyo mkazi wa huku,watu wa arusha hawana lekebisheni,izo,Imekua ni kero sasa kwa hawa vijana wanaodrive subari alteza na haya mapikipiki makubwa kama baja!
Kiukweli vijana wenzangu hapa mjini (Arusha) mmekuwa ni kero kubwa, hiyo mi vyombo yenu inatupigia kelele na inashtua sana, sijui kwa wagongwa wenye shida na mioyo yao huwa wanajiskiaje!
Mbadilike, kwani izo gari zenu zikilia kwa utaratibu hamfiki huko muendako?
Lekebisheni gari zenu, au kwa hili tu hadi J makamba na NEMC yake wapaze sauti ndio muwasikie?
Mbona majiji mengine hii kitu imepoa sana au ndio ulimbukeni wa home boys wenzangu hapa
Unafikiri kuna mtu asiependa expensive car? Sasa unaambiwa gari ndivyo lilivyotengenezwa bado unalalama eti kelele, kwanza unajua taa ya forester ile kubwa ya mbele inauzwaje? Au aircleaner yake tu? Au turbo yake, Acha dharau, usione ukadhani.Utamu kuendesha cheap a$$ car? Kuwapigia wenzako kelele ndo utamu?
Acheni ushamba. Yangekuwa magari ya maana si mngewagonga wenzenu makuaudi?
Asante mwalimuJinga wewe!
DuuuuuHao ndio simba wa mjini.. Kama maisha ya mjini yamekuchosha rudi shamba ukapigiwe kelele na ng'ombe...
Hapana, siyo nose pollution ni noise pollution!Imekua ni kero sasa kwa hawa vijana wanaodrive subari alteza na haya mapikipiki makubwa kama baja!
Kiukweli vijana wenzangu hapa mjini (Arusha) mmekuwa ni kero kubwa, hiyo mi vyombo yenu inatupigia kelele na inashtua sana, sijui kwa wagongwa wenye shida na mioyo yao huwa wanajiskiaje!
Mbadilike, kwani izo gari zenu zikilia kwa utaratibu hamfiki huko muendako?
Lekebisheni gari zenu, au kwa hili tu hadi J makamba na NEMC yake wapaze sauti ndio muwasikie?
Mbona majiji mengine hii kitu imepoa sana au ndio ulimbukeni wa home boys wenzangu hapa
Umecoment kitu gani hiki?Nose hahahaha ndio nn??
Kwaiyo kelele ni starehe?Km maisha ya Arusha yamekushinda ucsingizie starehe za watu we unajua ile bike ni sh. ngp?au bei ya subaru mbn watu wa Chuga wana enjoy hizo kelele km vp hamia serengeti ukakae na wanyama pori.
Jinga wewe kwahiyo ujasoma coment zilizotangulia!Hapana, siyo nose pollution ni noise pollution!
Ahsante! Wenye muda wa kusoma comments zote naamini ulichoandika kinawahusu.Jinga wewe kwahiyo ujasoma coment zilizotangulia!
Hasara unayo ww