callixtus Member Joined May 7, 2015 Posts 86 Reaction score 31 Jan 1, 2018 #1 inachukua Siku ngapi baada ya kumaliza dozi hi ndo unywe pombe?
Maguge Maguge JF-Expert Member Joined Sep 1, 2016 Posts 2,734 Reaction score 1,780 Jan 1, 2018 #2 Acha Uroho, utaiga leo! shauri lako kaa siku saba!
MastaKiraka JF-Expert Member Joined Jan 10, 2015 Posts 6,528 Reaction score 21,812 Jan 1, 2018 #3 Pona kabisa uhakikishe mwili umerudi kwenye hali ya kawaida, kisha jipe siku 4 - 7, baada ya siku hizo anza kunywa pombe. Bia zipo tu
Pona kabisa uhakikishe mwili umerudi kwenye hali ya kawaida, kisha jipe siku 4 - 7, baada ya siku hizo anza kunywa pombe. Bia zipo tu
Mtemi mpambalioto JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 3,812 Reaction score 8,972 Jan 1, 2018 #4 siku 900 itapendeza
tramadol JF-Expert Member Joined Oct 10, 2015 Posts 5,383 Reaction score 4,323 Jan 1, 2018 #5 Unaweza kunywa na pombe haina madhara ila jua kuwa nguvu ya dawa itapungua utendaji wake
Sigara Kali JF-Expert Member Joined May 28, 2017 Posts 3,708 Reaction score 8,746 Jan 1, 2018 #6 Mkuu kunywa pombe baada ya masaa 3 tangu utumie norfloxacin wala haina madhara na pombe mi natumiaga sana tu
Mkuu kunywa pombe baada ya masaa 3 tangu utumie norfloxacin wala haina madhara na pombe mi natumiaga sana tu