PreGE2025 Nondo: Kigezo cha Ubunge iwe Digrii au Diploma

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Nadhani Mbunge awe na degree au diploma kwa sababu kuna mikataba inaingizwa mule bungeni, usipokuwa na elimu na information za kutosha tutajikuta tunatunga sheria haziendi kuleta maslahi na Ustawi wa wananchi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Kwenye elimu kwa upande wa wabunge tusiishie kusema kusoma na kuandika ndio iwe kigezo cha kuwa Mbunge, twende mbali zaidi tuangalie kama ni diploma, stahahada, au shahada kwa sababu kwa sasa hivi hapa Tanzania wasomi ni wengi sana"-

 
Na isiisgie hapo, kuwe na mtihani, panel ya kuchuja . Wakitoboa hapi ndio watuhusiwe kuhombea
 
Yuko sahihi
 
Hao wanaotengeneza hiyo mikataba ni wasomi lakini kiko wapi ?
 
Joseph yule wa Geita,itakuwaje!!
Hii sheria CCM watasema,itaanza kutumika 2030🤣
 
Ila hii nchi ina usengerema mwingi mno
 
Kwasababu zipi? King Musukuma, Kishimba na Deo Sanga ni wabunge matajiri na walioajiri wenye digrii kibao ingawa wao ni darasa la sana. Eti hao hawana sifa ya kuwa Wabunge ila walioajiriwa na wasio na digrii ndio wawe Wabunge? Inachekesha sana!
 
ili baadae ambao hawana elimu ya digrii waanze kujitenga dhidi ya wenye digrii na kudemand kuanzisha taifa lao la wasio na digrii right?

hiyo ni useless na completely nonsense suggestion gentleman 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…