Habari wana jamvi mm nna mke wangu ila huwa yuko bize sana na cm upande wa taxt mda mwingine nahisi kuwa kuna mtu ambaye labda ni mtu wake maana nikitaka kuchukuwa cm yake huwa anaedit kwanza ndo anipe sasa wakuu najua humu kuna watalam wa cm aina ya nokia c3 nataka sms zote zinazo ingia zile zinajiseve mara mbili na hiyo sehemu niijue mm tu hata akifuta inbox basi nizikute kule maana hali ishakuwa mbaya kiafya magonjwa ni mengi na vile vile kubambikiwa mitoto sio yako maana midume mingine ikinogewa inazalisha kabisa kwahiyo nadhani hii nikigungundua inaweza saindia kumwonya au kugundua kidume kinachonipa kampany