Nokia C3

sony wega

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2012
Posts
234
Reaction score
35
Habari wana jamvi mm nna mke wangu ila huwa yuko bize sana na cm upande wa taxt mda mwingine nahisi kuwa kuna mtu ambaye labda ni mtu wake maana nikitaka kuchukuwa cm yake huwa anaedit kwanza ndo anipe sasa wakuu najua humu kuna watalam wa cm aina ya nokia c3 nataka sms zote zinazo ingia zile zinajiseve mara mbili na hiyo sehemu niijue mm tu hata akifuta inbox basi nizikute kule maana hali ishakuwa mbaya kiafya magonjwa ni mengi na vile vile kubambikiwa mitoto sio yako maana midume mingine ikinogewa inazalisha kabisa kwahiyo nadhani hii nikigungundua inaweza saindia kumwonya au kugundua kidume kinachonipa kampany
 
Nakupa dawa hii ila ni chungu. Nenda ovi store download App ambalo linaitwa True caller. Hiyo app ni nzuri sana.
 
Acha wivu wewe utakuja ua mtoto wa watu bure na kitu chenyewe hakiachiwi hata kovu

sio wivu mkuu ila nahitaji kuishi na mke wangu kwa amani mkuu na hata nikigundua inakuwa rahis kuonya kaka kuacha mke siwezi na vile vile napenda kuwa na familia yenye hashima ila vishawishi ni vingi sana
 
sio wivu mkuu ila nahitaji kuishi na mke wangu kwa amani mkuu na hata nikigundua inakuwa rahis kuonya kaka kuacha mke siwezi na vile vile napenda kuwa na familia yenye hashima ila vishawishi ni vingi sana


Wanawake wa siku hizi bhana yahani ni shida kwa kweli. Ila utamnasa tu ni rahisi Hiyo simu naifahamu vizuri sana mimi.
Nijibu Maswali haya halafu ntakwambia jinsi ya kufanya
1. Yuko facebook?
2. Ni muda gani anakuwa busy sana? usiku/mchana ama muda wote?
3. Anafanya kazi? Ofisi gani?

Ukinijibu maswali hayo kiufasaha ntakuambia jinsi ya kumnasa
 
Nakupa dawa hii ila ni chungu. Nenda ovi store download App ambalo linaitwa True caller. Hiyo app ni nzuri sana.

Mkuu zingatia sana ushauri ulopewa, dawa ni hiyo ila nichungu sana, inaweza kukupa ugonjwa wa Moyo.
 

hayuko fb wala mtandao wowote ila ni mwajiriwa pale karakana ya ufundi wa magari ya serikali temesa yeye ni kama store kiper
 
Mkuu zingatia sana ushauri ulopewa, dawa ni hiyo ila nichungu sana, inaweza kukupa ugonjwa wa Moyo.
ni vema ukajaribu kuokoa familia yako kwa kuonya ila sidhan kama kuna mtu anaweza kubali mtu mwingine usie mfahamu akuharibie famila yako
 
hayuko fb wala mtandao wowote ila ni mwajiriwa pale karakana ya ufundi wa magari ya serikali temesa yeye ni kama store kiper

Mkuu umejuaje kama hayuko facebook? Je yeye anajua kama wewe uko JF?

Stuka!!!!!
 
aisee huwezi kutengeneza ndoa yako kwa kutafuta sms za mwenza wako, suluhu ni kukaa chini na kuongea.
Kama unatafuta ushahidi wa kutoa talaka sawa.
 
Nakupa dawa hii ila ni chungu. Nenda ovi store download App ambalo linaitwa True caller. Hiyo app ni nzuri sana.

Mkuu malizia uhondo basi. Ukishadownload what next? Nna kanyumba kangu kadogo kanatumia hiyo simu nataka nikatafutie sababu.
 
Nakupa dawa hii ila ni chungu. Nenda ovi store download App ambalo linaitwa True caller. Hiyo app ni nzuri sana.

aisee hii dawa itamsababishia pressure si shauri atumie.labda kama anatafuta ushahidi wa kumuacha.
 
aisee hii dawa itamsababishia pressure si shauri atumie.labda kama anatafuta ushahidi wa kumuacha.
Hebu elekeza mimi hiyo makitu bana. Nyumba ndogo zinakaba tunakosa sababu za kujinasua.
 
aisee huwezi kutengeneza ndoa yako kwa kutafuta sms za mwenza wako, suluhu ni kukaa chini na kuongea.
Kama unatafuta ushahidi wa kutoa talaka sawa.

wala sihitaji ushahidi na kama kumtel nishamtel sana ila ninachotaka ni kuonya mkuu nadhani hata wewe ukiona kuna dalili za kuharibika kwa nyumba basi itabidi ufaham na kuonya sio kuacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…