Kama No Reforms , No Election imefanikiwa maana yake Uchaguzi Mkuu umesogezwa mbele sio? Na HAUTAFANYIKA tarehe 29/10/2025 kama ulivyopangwa awali sio? Na kampeni zimeaitiahwa ila Rais Samia yupo Iringa leo kwenye ziara ya Kiserikali sio? Basi sawa. Hongereni sana watu wa No Reforms, No Election. Bado Lissu tu KUNYONGWA!!!ππππ