Katika Tanzania hii NMB Songea mmezidi ubabaishaji. Subirini wachukue nchi UKAWA benki ifumuliwe. Kila siku network haipo kwenu. Foleni kuzidi ya BVR. ATM moja inahudumia watu wawili hadi jioni. Mara kadi imemezwa, mara benk teller kaenda kula.
Kwa ufupi huduma ni mbovu, mashine ni mbovu mji mzima ni nyinyi tu. Serikali inatukomoa kupitishia mishahara benki hii haswa excheque!
Kwa ufupi huduma ni mbovu, mashine ni mbovu mji mzima ni nyinyi tu. Serikali inatukomoa kupitishia mishahara benki hii haswa excheque!