Jana serikali imetoa ruksa kwa benki mbili hapa nchini kutoa huduma za kibenki kwa akaunti zote za serikali na wafanyakazi wa serikali sasa ruksa kufungua akaunti na kuhudumiwa na benki yoyote kati ya NMB na CRDB BANK.
Hivyo halmashauri zote nchini zinatakiwa kuchagua benki ipi itahudumia katika halmashauri husika mapema wiki ijayo.
Mimi natoa pongezi kwa benki hizi mbili na hii ni nafasi yenu sasa kuonyesha mko vizuri kuhudumia serikali na wafanyakazi kwa ufanisi. Fungua kiambatanisho cha barua kwa maelezo zaidi
Hivyo halmashauri zote nchini zinatakiwa kuchagua benki ipi itahudumia katika halmashauri husika mapema wiki ijayo.
Mimi natoa pongezi kwa benki hizi mbili na hii ni nafasi yenu sasa kuonyesha mko vizuri kuhudumia serikali na wafanyakazi kwa ufanisi. Fungua kiambatanisho cha barua kwa maelezo zaidi