UmenenaMleta mada issue ipo hivi:
Mabenki huwa yanaingia mikataba na makampuni ya simu. Unapotumia hiyo huduma bure ni kwamba benki inamlipa mwenye kampuni ya simu. Kama hawamlipi maana yake hutaweza kuingia mpaka uwe na salio, hii ni kwa ussd.
Mobile app, yenyewe itahitaji MB tu unaingia fresh.
Sema ujinga wa nmb, wanataka namba iliyosajiliwa na nmb mkononi ndio hiyo iwe na bando kwa wale wanaotumia App. Hii inaudhi kishenzi.
Crdb ukishakuwa na mob app, unatumia data kutoka mtandao wowote
NMB WENGI WAZEE, WASHAMBA KINOMA
Sasa kuwahi kupokea mishahara ndo ujanjaKumbuka watumishi ni lazm mshahara upotie bank na nmb ni countrywise pia ukia hata semina za serikali nmb wanaanza pokea pesa kuliko bank yoyote ile!!!yan nmb mnasnza pokea bank nyingine wanasuburi hata week !!! Hivyo kusema nmb ni ya kishamba hujui unachokiongea
NMB app ipo..labda wewe tu ndo hujui.Watu kuhamia kwenye banking services maana yake makampuni ya sim yanapoteza mapato,pia bank zinapata wateja kupitia huduma za makampuni ya simu.
Ninachoona hapa ni kwamba makampuni ya simu yanaweza pandisha bie ya kutumia huduma za kifedha/bank kuwa ghali zaidi. Banks inabidi wawe na apps zao ambazo unatumia bundle tu , inakuwaje bank kubwa kama NMB hawana app?
hapana mzee unakosea kiongozi sio namba iliyosajiliwa na simu mkononi ndio iwe na bando hapana narudia hapana narudia hapana , wanataka namba iliyosajiliwa simu mkononi iwe kwenye simu tena laini one bando haijalishi hata ukiunga wifi au laini ya pili ikiwa na bando sawa tu mm natumia tigo nmb mkononi bando natumia airtel sema tigo ipo laini one kwaajili ya kupokea code za nmb app internet hata ukiunga wifii haina shidaMleta mada issue ipo hivi:
Mabenki huwa yanaingia mikataba na makampuni ya simu. Unapotumia hiyo huduma bure ni kwamba benki inamlipa mwenye kampuni ya simu. Kama hawamlipi maana yake hutaweza kuingia mpaka uwe na salio, hii ni kwa ussd.
Mobile app, yenyewe itahitaji MB tu unaingia fresh.
Sema ujinga wa nmb, wanataka namba iliyosajiliwa na nmb mkononi ndio hiyo iwe na bando kwa wale wanaotumia App. Hii inaudhi kishenzi.
Crdb ukishakuwa na mob app, unatumia data kutoka mtandao wowote
NMB WENGI WAZEE, WASHAMBA KINOMA
Mimi simu yangu kila nikijaribu inaomba nitumie laini iliyoungwa na nmb, nilishabadili sana laini mzee, mpaka nilishawafata kuuliza. Walichonijibu, weka bando kwenye laini husikahapana mzee unakosea kiongozi sio namba iliyosajiliwa na simu mkononi ndio iwe na bando hapana narudia hapana narudia hapana , wanataka namba iliyosajiliwa simu mkononi iwe kwenye simu tena laini one bando haijalishi hata ukiunga wifi au laini ya pili ikiwa na bando sawa tu mm natumia tigo nmb mkononi bando natumia airtel sema tigo ipo laini one kwaajili ya kupokea code za nmb app internet hata ukiunga wifii haina shida
Tena nikwambie, unapokuwa umejiunga tayari, hakuna code yoyote inayotumwa labda kama unazungumzia kujisajili na mob app. Kama unaweza kutumia wi-fi why laini ikiwa namba 2 ikatae?hapana mzee unakosea kiongozi sio namba iliyosajiliwa na simu mkononi ndio iwe na bando hapana narudia hapana narudia hapana , wanataka namba iliyosajiliwa simu mkononi iwe kwenye simu tena laini one bando haijalishi hata ukiunga wifi au laini ya pili ikiwa na bando sawa tu mm natumia tigo nmb mkononi bando natumia airtel sema tigo ipo laini one kwaajili ya kupokea code za nmb app internet hata ukiunga wifii haina shida
Ngoja nitumie hii appl. tigo wanazingua sana nampango wa kubadilisha nmb mobile nisajilie halotelTumia app ya nmb ni bure kabisa unless uwe hutumii smartphone...!
Kiongozi wewe ni mtumishi wa sector gani? Aliyesema mishara ya watumishi lazima ipite nmb ni nani?Kumbuka watumishi ni lazm mshahara upotie bank na nmb ni countrywise pia ukia hata semina za serikali nmb wanaanza pokea pesa kuliko bank yoyote ile!!!yan nmb mnasnza pokea bank nyingine wanasuburi hata week !!! Hivyo kusema nmb ni ya kishamba hujui unachokiongea
Ni Msomi wa PhD wa CCMKiukweli huu ni ujinga kabisa!! Sina salio la mtandao ila benk nina pesa sasa nikitaka kuingia NMB mobile ina shindikana huu ni upuuzi wa kiwango cha juu kabisa!!
Sasa nmb mobile hii huduma ina maana gani? Yan aliyeleta huu utaratibu ni mpumbavu sana sana!! Kwann hafikiruu kuna watu tupo vijijini hij huduma yaweza kuwa msaada!?
Yaani lazima uwe na salio la mtandao ndio uingie NMB mobile? Sasa kama mtu hana balansi ya salio la mtandao inakuwaje!?? Yan daaa !!!kwann makato yasiwe baada ya kuchukuwa pesa yako? Tafadha tcra ingikieni hili kati
Dah hapa ndio wanapozingua yaani mpaka nitumie line ileile wengine tumeshayachoka baadhi ya makampuni ya simu mfano tigo ni line yao lakini sijawahi iwekea hela kwa sababu ya gharama zao za kipumbavuMleta mada issue ipo hivi:
Mabenki huwa yanaingia mikataba na makampuni ya simu. Unapotumia hiyo huduma bure ni kwamba benki inamlipa mwenye kampuni ya simu. Kama hawamlipi maana yake hutaweza kuingia mpaka uwe na salio, hii ni kwa ussd.
Mobile app, yenyewe itahitaji MB tu unaingia fresh.
Sema ujinga wa nmb, wanataka namba iliyosajiliwa na nmb mkononi ndio hiyo iwe na bando kwa wale wanaotumia App. Hii inaudhi kishenzi.
Crdb ukishakuwa na mob app, unatumia data kutoka mtandao wowote
NMB WENGI WAZEE, WASHAMBA KINOMA
Washamba kinoma, ingia crdb ujionee maajabu. Watu wapo vizuri, vijana wengi. Wanazijua product fresh. Nmb wazee wengi, wamechoka kinoma. Mfano nilitaka kupurchase online yani nilizungushwa hiyo siku, mwingine anasema chap chap haiwez mwingine anasema inaweza ikiwezeshwa. Me nikawambia basi iwezesheni.Dah hapa ndio wanapozingua yaani mpaka nitumie line ileile wengine tumeshayachoka baadhi ya makampuni ya simu mfano tigo ni line yao lakini sijawahi iwekea hela kwa sababu ya gharama zao za kipumbavu
Ile app Unafanyaje kusajili pale penye user name na password unaandika niniTumia app ya nmb ni bure kabisa unless uwe hutumii smartphone...!
Ile app Unafanyaje kusajili pale penye user name na password unaandika nini
Hivi weww uliye benk tofauti na nmb una nn!?? Unautajiri gani !!?? Hizo benk zina unafuuu gani!?? Acha tambo za kishamba huna loloteeee !!!eti nmb benk ya kizeee ya babako ya kijanja ni ipi!??Sasa kuwahi kupokea mishahara ndo ujanja
hii app inabagua watumiaji wa iphone ni mpaka android,nmb inabidi waliangalie hiliTumia app ya nmb ni bure kabisa unless uwe hutumii smartphone...!
Na Halotel.airtel ni free kabisa nadhani ni mtandao na mtandao
Hata crdb app yao ya sim banking pia inagoma kufunguka ukiwa hauna salio kwa watuamiaji wa tigo,sijajua kwa mitandao mingineMleta mada issue ipo hivi:
Mabenki huwa yanaingia mikataba na makampuni ya simu. Unapotumia hiyo huduma bure ni kwamba benki inamlipa mwenye kampuni ya simu. Kama hawamlipi maana yake hutaweza kuingia mpaka uwe na salio, hii ni kwa ussd.
Mobile app, yenyewe itahitaji MB tu unaingia fresh.
Sema ujinga wa nmb, wanataka namba iliyosajiliwa na nmb mkononi ndio hiyo iwe na bando kwa wale wanaotumia App. Hii inaudhi kishenzi.
Crdb ukishakuwa na mob app, unatumia data kutoka mtandao wowote
NMB WENGI WAZEE, WASHAMBA KINOMA
hata mimi nimesikia hivyo,hivi unaweza kubadili namba uliosajilia nmb mobile ?Na Halotel.
Ina maana ukiwa nje ya nchi au ukitumia Wi-fi huwezi kupata huduma kwenye hii app ya nmb mobile?Mleta mada issue ipo hivi:
Mabenki huwa yanaingia mikataba na makampuni ya simu. Unapotumia hiyo huduma bure ni kwamba benki inamlipa mwenye kampuni ya simu. Kama hawamlipi maana yake hutaweza kuingia mpaka uwe na salio, hii ni kwa ussd.
Mobile app, yenyewe itahitaji MB tu unaingia fresh.
Sema ujinga wa nmb, wanataka namba iliyosajiliwa na nmb mkononi ndio hiyo iwe na bando kwa wale wanaotumia App. Hii inaudhi kishenzi.
Crdb ukishakuwa na mob app, unatumia data kutoka mtandao wowote
NMB WENGI WAZEE, WASHAMBA KINOMA
Dakika 0 tu. Lakini ATM.hata mimi nimesikia hivyo,hivi unaweza kubadili namba uliosajilia nmb mobile ?