Ndekirhepva
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 371
- 44
ha ha ha.jamaa kapishana na ndinga ya salaryMbona tayari innterview isha pita , walifanya jumatano na alhamis
We nawe bado hujapata Kazi?ha ha ha.jamaa kapishana na ndinga ya salary
ilikuaje kwani?Interview yenyewe sasa.
Unaweza kulia why ulizaliwa TZ
We siulikata Simu baada ya kusikia sauti yangu.jamani tayari wameita??? duuuh nimeshakosa nafasi maana hadi sasa sijaona cm wala email
hapana ndugu hata sijaona simu yeyote nikipigiwaWe siulikata Simu baada ya kusikia sauti yangu.
Kwa hiyo mkuu haka kapesa kangu ka ems bora nile mihogo tu huku uswazi kwetu, nisitumeInategemeana ww unafahamiana na nani nmb vinginevyo utapoteza bure muda wako wakutuma maombi
jamani tayari wameita??? duuuh nimeshakosa nafasi maana hadi sasa sijaona cm wala email