Hakika hahahhaahhaKakuzarau sana
hv kunguru wa zanzibar ndio wapojeKwa kuwa wew mavi yako yananukia asumini...unakunya keki ww kunguru wa Zanzibar
nipo mwingi sana. Za sikuHahaha upo ww mtu..
Hahhaaa!! Ndio tz ya kijani hiyo.Salam tupo na ccm yetu
Kwa hiyo wale wanaokula udaga,michembe na makukulu wenyewe huwa wanatoa harufu nzuri mkuu?Huyo demu anakula vitu vizuri vizuri sana ndio huwa na harufu kali vikioza mkuu
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hivyo ni vyakula mkuu?Kwa hiyo wale wanaokula udaga,michembe na makukulu wenyewe huwa wanatoa harufu nzuri mkuu?
Jamiiforums 99% ya mambers wanaishi maisha 1st class.
Mimi mwanafunzi mkuuJamiiforums 99% ya mambers wanaishi maisha 1st class.
Kuna mtu ameuliza kama muhogo mahindi n.k ni vyakula.Mimi mwanafunzi mkuu
Mkuu udaga nijuavyo mimi ni chakula cha kuku ambacho ni mabaki ya dagaa wachafu sasa hicho ni chakula cha binadamu?Jamiiforums 99% ya mambers wanaishi maisha 1st class.
Udaga ni mihogo iliyokaushwa. Kanda ya ziwa ni nadra kumkuta mwenyeji anasema muhogo. Muhogo ni ule wa kupika.Mkuu udaga nijuavyo mimi ni chakula cha kuku ambacho ni mabaki ya dagaa wachafu sasa hicho ni chakula cha binadamu?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Wa ccmHuko kwenu amepita mbunge gani..??
Maana huku kwetu bado hatujapata matokeo rasmi ya Mbunge na Rais.
I see?Udaga ni mihogo iliyokaushwa. Kanda ya ziwa ni nadra kumkuta mwenyeji anasema muhogo. Muhogo ni ule wa kupika.