Lakini mimi nafikiri, siyo afya Dr Makaidi apewe Jimbo halafu lingine apewe mke wake. Na katika teuzi zetu kwa nafasi za viti maalum wanawake, hili suala la kupeana Ubunge mtu na mke wake, mtu na dada yake, haijengi Chadema au UKAWA, linatubomoa. Nashauri viongozi tulizingatie hili.