Nkurunziza’s desperate gamble


Leo naona umeamua kuweka chuki zako dhidi ya Wahutu wazi. Rwanda bado sana.

Cousin yangu alikuwa na rafiki mwenye asili ya Rwanda (Mtutsi), akamshauri awajengee nyumba Wazazi wake Rwanda. Huyo rafiki yake akamjibu kwamba "usione Rwanda kupo shwari, kuna moto chini kwa chini". Na kweli aliwajengea nyumba hapa Tanzania

Cousin yangu alishangaa kwa sababu hakuwa anazijua vizuri " Siasa" za Rwanda.
 
Akitawala mtusi na kuondoa ukomo wa madaraka kama Rwanda, Uganda na Kongo anatukuzwa eti ni ni uongozi wa mfano, akitawala mhutu kama Burundi akiongeza muhula mmoja tu kosa, Nkurunzinza hakuna kutoka.
Akitoka nitamshangaa sana kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…