Rev Fr KABOKA mchizi
Member
- Feb 20, 2012
- 93
- 11
Wasichana wote ambao mmefanya abortion, madokta mnaofanya hyo kazi na wanaume mnaowaruhusu wale mlofanya nao uzinzi wakafanye abortion.
. . . . . . . . . . . . . . . .
Wekeni tanga muwalilie hao viumbe wasio na hatia mliowaua, pateni sononeko la moyo kwa maumivu waliyopata kabla ya uhai kuwatoka.
. . . . . . . . . . . . . . .
Wekeni dhamira ya kutorudia hyo dhambi na mkawe mabalozi wa kukemea hyo dhambi. Mungu ni mwenye huruma atawasamehe!
NJOONI MTUBU!
. . . . . . . . . . . . . . . .
Wekeni tanga muwalilie hao viumbe wasio na hatia mliowaua, pateni sononeko la moyo kwa maumivu waliyopata kabla ya uhai kuwatoka.
. . . . . . . . . . . . . . .
Wekeni dhamira ya kutorudia hyo dhambi na mkawe mabalozi wa kukemea hyo dhambi. Mungu ni mwenye huruma atawasamehe!
NJOONI MTUBU!