Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 804
Asubuhi ya leo, nikiwa nimejilaza kitandani mchovu wa kuamka kiasi flani sitamani hata kwenda church, nausikia wimbo wa Mb-dog (Latifa) ukichezwa ktk station moja hv ya Radio... Napata picha (imaginations) na feelings za beibe Mydarl a.k.a Gf wangu. Tatizo linakuja yupo mbali, Mkoa wa mbali ya hapa nilipo, kweli natamani anikiss ikiwezekana anipe denda kabisa but kwa situation ilivyo nahis ntaambulia patupu. Kwa situation km hii inakuaje hapo? I mean hilo kiss & denda nipotezee or kuna strategiez za ziada? Kwa wale waliopo/waliopitia situation km hii niliyopo nategemea experiences zenu. Lets discuss kwa pamoja!