Njiwa aliyefungwa hirizi anapofika nyumbani kwako

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,277
6,673
Nimekumbuka tukio moja la kusisimua ambalo lilitokea nyumbani kwetu, wakati huo nilikuwa naishi na wazazi wangu. NJIWA aliyefungwa hirizi nyekundu aliingia ndani, ilikuwa taharuki babu kubwa. Kila tulipomfukuza njiwa aligoma kuondoka.

Jioni mzee alirudi akiwa amepiga pombe zake. akaamrisha milango na madirisha vifungwe, njiwa akakamatwa kisha akachinjwa, ile hirizi akaichoma moto njiwa akabanikwa akamla mwenyewe maana kila mmoja aligoma.

Miaka imepita, baba amestaafu na hata pombe ameacha. SWALI kwa Gudume na Mshana, matukio haya huwa yanamaanisha nini? Ni zipi hatua za kuchukua yakikutokea?
 
Nimekumbuka tukio moja la kusisimua ambalo lilitokea nyumbani kwetu, wakati huo nilikuwa naishi na wazazi wangu. NJIWA aliyefungwa hirizi nyekundu aliingia ndani, ilikuwa taharuki babu kubwa. Kila tulipomfukuza njiwa aligoma kuondoka.

Jioni mzee alirudi akiwa amepiga pombe zake. akaamrisha milango na madirisha vifungwe, njiwa akakamatwa kisha akachinjwa, ile hirizi akaichoma moto njiwa akabanikwa akamla mwenyewe maana kila mmoja aligoma.

Miaka imepita, baba amestaafu na hata pombe ameacha. SWALI kwa Gudume na Mshana, matukio haya huwa yanamaanisha nini? Ni zipi hatua za kuchukua yakikutokea?
Mzee nimemuelewa..... Angekuwa bado anakunywa ningekwambia aagize Tena naja lipa. Ila kwakuwa kaacha abalikiwe sanaaa
 
Hapa hapahitajiki ramli wala zindiko, suluhisho lake ni kama hilo alilolifanya mzee wako!
 
Nimekumbuka tukio moja la kusisimua ambalo lilitokea nyumbani kwetu, wakati huo nilikuwa naishi na wazazi wangu. NJIWA aliyefungwa hirizi nyekundu aliingia ndani, ilikuwa taharuki babu kubwa. Kila tulipomfukuza njiwa aligoma kuondoka.

Jioni mzee alirudi akiwa amepiga pombe zake. akaamrisha milango na madirisha vifungwe, njiwa akakamatwa kisha akachinjwa, ile hirizi akaichoma moto njiwa akabanikwa akamla mwenyewe maana kila mmoja aligoma.

Miaka imepita, baba amestaafu na hata pombe ameacha. SWALI kwa Gudume na Mshana, matukio haya huwa yanamaanisha nini? Ni zipi hatua za kuchukua yakikutokea?

ipo siku na ww ukamuiga mzee wako.. alaf ukashangaa umemchinja MKEO AU MTOTO WAKO.. dawa yake ni kutafuta FIMBO nzuri tu iliyonyooka alafa unapiga nayo kisawasawa.. uone kama hatoondoka
 
Nimekumbuka tukio moja la kusisimua ambalo lilitokea nyumbani kwetu, wakati huo nilikuwa naishi na wazazi wangu. NJIWA aliyefungwa hirizi nyekundu aliingia ndani, ilikuwa taharuki babu kubwa. Kila tulipomfukuza njiwa aligoma kuondoka.

Jioni mzee alirudi akiwa amepiga pombe zake. akaamrisha milango na madirisha vifungwe, njiwa akakamatwa kisha akachinjwa, ile hirizi akaichoma moto njiwa akabanikwa akamla mwenyewe maana kila mmoja aligoma.

Miaka imepita, baba amestaafu na hata pombe ameacha. SWALI kwa Gudume na Mshana, matukio haya huwa yanamaanisha nini? Ni zipi hatua za kuchukua yakikutokea?
Very ize fungua hilizi tupa then mchinje na either upike or uchome then kula but kula kwa JINA LA YESU Oooh tamu Jamani
 
Pombe ilimtuma afanye hivyo..otherwise asingefanya kitu zaidi ya kumfukuza, walevi wanapenda sana nyama choma tena isiwe imeiva sana
 
Nimekumbuka tukio moja la kusisimua ambalo lilitokea nyumbani kwetu, wakati huo nilikuwa naishi na wazazi wangu. NJIWA aliyefungwa hirizi nyekundu aliingia ndani, ilikuwa taharuki babu kubwa. Kila tulipomfukuza njiwa aligoma kuondoka.

Jioni mzee alirudi akiwa amepiga pombe zake. akaamrisha milango na madirisha vifungwe, njiwa akakamatwa kisha akachinjwa, ile hirizi akaichoma moto njiwa akabanikwa akamla mwenyewe maana kila mmoja aligoma.

Miaka imepita, baba amestaafu na hata pombe ameacha. SWALI kwa Gudume na Mshana, matukio haya huwa yanamaanisha nini? Ni zipi hatua za kuchukua yakikutokea?
Daah kuna jambo umenikumbusha,mwaka 1999 niko la saba,wakati huo mzee anaangusha mjengo site mi ndo nilikuwa kijana wake ana niamni sana kuhusu kumsaidia kusimamia na kufatilia shughuli ndogo ndogo za site sa kuna migomba na minazi kapanda pembe ya kiwanja halafu kuna mzee wa jirani alikuwa na mbuzi halafu mtaani wanamuogopa yule mzee kwa uchawi so ana waachia wanakula mimea ya site wakazinguana kishenzi dingi alikuwa mtemi sana akavunja miguu mbuzi wanne:D uadui ukaanzia hapo,kuna siku nimetoka skuli sa kumi na moja nikampitia job tukaenda site tukakuta mlangoni pamechimbwa mzee akafukua akakuta chupa imetiwa hirizi nyeusi,karatasi nyeupe ina maandishi ya quran yameandikwa kwa wino mwekundu,halaf na nazi haijavunjwa dooh niliogopa sana,dingi akavichukua akanituma dukani nikanunue mafuta ya taa na kiberiti narudi namkuta anakula ile nazi:D:D halaf hirizi kaichana na akaitia moto pale pale.....mpaka leo dingi yupo hai na anadunda tu na familia yetu iko gado na nyumbani tulihamia mwaka uliofata 2000...na yule mzee alishafariki kifo cha kudondoka ghafla 2004.
 
Unauliza hapa hatua za kuchukua ukimaanisha kwamba huku ridhika na hatua alizochukua baba yako? Jamaa bwan!!
 
Nimekumbuka tukio moja la kusisimua ambalo lilitokea nyumbani kwetu, wakati huo nilikuwa naishi na wazazi wangu. NJIWA aliyefungwa hirizi nyekundu aliingia ndani, ilikuwa taharuki babu kubwa. Kila tulipomfukuza njiwa aligoma kuondoka.

Jioni mzee alirudi akiwa amepiga pombe zake. akaamrisha milango na madirisha vifungwe, njiwa akakamatwa kisha akachinjwa, ile hirizi akaichoma moto njiwa akabanikwa akamla mwenyewe maana kila mmoja aligoma.

Miaka imepita, baba amestaafu na hata pombe ameacha. SWALI kwa Gudume na Mshana, matukio haya huwa yanamaanisha nini? Ni zipi hatua za kuchukua yakikutokea?
Uchawi hauwezi kwenda mentali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom