MaxShimba
Platinum Member
- Apr 11, 2008
- 36,008
- 4,092
Kweli kabisa. Tunawaonea tu. Wanaosababisha hali ngumu ya maisha kiasi cha kuzalisha vibaka wanaachwa wanapita mitaani kwa raha zao. Nchi hii haitakuja iendelee kamwe.Nyie wa kupimwa.
Ukiuliza kaiba nini? Utaambiwa kaiba kuku mmoja. Unashindwa kuwapiga watu wanaosababisha hali ngum,u ya maisha, mnakuja kuwauwa wahanga wa mafisadi
acha hizo kweli israel ndo nani kama wenyewe wanamisukosuko yao huko, hawaitoi we unasema nn nend kule uon biashara ya ukahaba ilivyoshamiri ach kuongea kama ujafika hiyo nchi.