Njia rahisi ya kufika kuzimu

Be first to reply
 
Kazi kweli kweli. ..dah
 
kupoteza muda tu,we jirushe ghorofa ya ishirini tu kuzimu fasta
 
Pembe ya mbuzi ni ndogo viganja saba vya maji vitatosha? 'Archimedes Principle' inaonesha kua hayo maji hayatatosha kuweza kuyatemea humo mara saba.

Ili niwe na uhakika haya mayai ni ya kuku mweusi itabidi nimfuge mwenyewe, na siyo kwenda kuyanunua na kumuuliza muuza mayai.

Umetoa maelekezo ya kwenda ya kurudi vipi?

Huu uwekezaji una risks nyingi kushinda faida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…