Abramovic
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 324
- 610
Wadau ni matumaini yangu hamjambo na mna afya njema.
Tafadhari naomba kuelezwa nje ndani kuhusu mkoa wa Shinyanga hasa mjini, tabia za watu wa kule na mazingira ya kuishi kwa ujumla. Pia bila kusahau gharama za maisha za kule na usalama wa raia na mali zao.
Natarajia kwenda huko hivi karibuni kuna project binafsi naenda kufanya.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Tafadhari naomba kuelezwa nje ndani kuhusu mkoa wa Shinyanga hasa mjini, tabia za watu wa kule na mazingira ya kuishi kwa ujumla. Pia bila kusahau gharama za maisha za kule na usalama wa raia na mali zao.
Natarajia kwenda huko hivi karibuni kuna project binafsi naenda kufanya.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.