Ndugu wana jamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza ,kumekuwapo na fursa nyingi tu zinazopigiwa upatu kuhusiana uwekezaji huu wa bitcoin au bet za tatu mzuka na biko ,hivyo nlikuwa naomba ushauri nitupie wapi kafedha kangu haka nliko nako mana nataka kazae angalau kidogo.ushauri wenu tafadhali.