Horse power ngapi unaitaji?Habari wakuu!!!
Nahitaji Pump used ambayo ipo ktk hali nzuri kwlla ajili ya matumizi yangu ya kisima hapa Nyumbani.
Bei maelewano, kama unayo ni-PM.
Horse power ngapi unaitaji?
Bajeti yako inasomekaje?
Pump ipo hiyo vipi bado unahitaji.
Sijui ni kwa nini unataka kununua pump ya maji ambayo ni used wakati pump mpya nzuri na za bei rahisi zimejaa hapo Kariakoo? Kwa nini ununue kitu ambacho huna uhakika na uimara wake? Nakushauri nenda kanunue pump mpya.
Tiba
Ahsante Mkuu Tiba, pump mpya ni kiasi gani?
Pump mpya za maji kulingana na ukubwa wa pump ni kati ya Tshs. 75, 000 mpaka 150, 000. Kuna moja nilinunua miaka 3 iliyopita kwa 150, 000 na ninaitumia angalau mara mbili kwa wiki kupandisha maji kutoka kwenye kisima kwa saa 1 kila nikiiwasha, bado inafanya kazi vizuri mpaka leo na haijawahi kuleta ukorofi wa aina yoyote. Ile kariakoo ya gerezani, ziko nyingi mno.
Tiba