Niuzie digital camera

Niuzie digital camera

Hata mbovu sawa? Kwa hiyo yenye hizo specs duh utasuburi sana ila unaeza pata
 
Uzuri wa camera sio megapixel. Je unajua nini kuhusu camera? Je unajua nini kuhusu kupiga picha
 
Uzuri wa camera sio megapixel. Je unajua nini kuhusu camera? Je unajua nini kuhusu kupiga picha
Sitaku kufahamu mimi sio professional photographer ila nafahamu camera yenye chini ya hizo specs ni ya zamani sana...afu mbona umepoteza muda kujibu kitu kisichoendana na post? Au nawe nu great thinker
 
Hata mbovu sawa? Kwa hiyo yenye hizo specs duh utasuburi sana ila unaeza pata
Mbovu ningeenda kwa fundi....afu mbona mnapoteza muda kujibu mambo yasioendana na post...mnaeka foleni tu kwenye servers za jf bwana badilika
 
Sitaku kufahamu mimi sio professional photographer ila nafahamu camera yenye chini ya hizo specs ni ya zamani sana...afu mbona umepoteza muda kujibu kitu kisichoendana na post? Au nawe nu great thinker
Have a chill.
 
Yenye more than 12 mega pixels natoa elufu 80 za kitanzania ..... nipm tafadhali. Dsm tu.


Ipo proffesional camera samsung NX 20 ambayo ina mega pixels 20.3 lakini bei nitakufanyia laki tatu na haipungui.
 
Back
Top Bottom