Niunganisheni na yule Mtanzania aliyefungua Mgahawa Sweden nikaoshe Vyombo. nina Diploma ya Catering

Mkuu kwakweli sina tatizo zaidi ya kukoswa kazi. Uzoefu huo mwaka mmoja nilifanya Ilboru Safari Lodge na miaka 3 nimefanya Malaika pale Mwanza...ni kwamba ni ajira tu ndo zimekuwa ngumu mkuu...
 
Dah ndugu Sweden nimeenda lini? mie nilisoma habari za Mtanzania aliyefungua Mgahawa Sweden...so nimeona hiyo ni fursa kam tu nitawasiliana nae na kumweleza CV yangu mdogo wake niliyepo Tanzania. niko Mwanza
 
Nooo mimi ni msukuma wa Mwanza aisee

Mwangalukaa,lol,kwa nini unataka kwenda kuosha vyombo nje,anzisha biashara ya kuosha vyombo bongo,lol,kweli vile,ukipata wale wanaotoa catering services utatengeneza pesa mkuu,inawezekana isiwe much ila ya kula hukosi lol,mie mpaka june 2017,nitakua nimeanzisha biashara ya mama ntilie
 
Mkuu nimeapply sana hapa Mwanza na hadi mikoa mingine...sasa katika kufikirisha ubongo zaidi ndio nikakumbuka kuna Mtanzania mwenzangu ni Chief huko Sweden...anaweza nisaidia
 
Isakesu@gmail.com
 
Mkuu, naelewa kabisa swala zima la kujiajiri...tatizo mtaji baba...
 
Ntashukuru sana mkuu...yaani ntashukuru sana. Plz jitahidi and make it fast. I'm starving.
 
Mkuu, kutamka neno "anzisha" sio tabu...tabu mtaji ndugu....sina hata buku hapa. nafatilia uzi wangu kupitia simu ya jirani aisee.
 
dah we dada kilaza sana, kipi hujaelewa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…