Nitoe ushauri gani?

Nitoe ushauri gani?

Uwuhangala

Member
Joined
Nov 8, 2016
Posts
15
Reaction score
4
Mimi ni mvulana kuna rafiki Yangu wa kiume naheshimiana nae sana.Amekuwa na mahusiano na Dada mmoja ambae namfahamu nipo nae Jirani sana wamekuwa wakigegedana kwa mda mrefu.Najua mvulana huyu hana mpango wa kuoa lakini huyu anaomba ushauri kwangu juu tabia ya mvulana huyu nikimweleza naogopa kuwagombanisha kwani washakuwa wapenzi pia nitafanya mahusiano kazini yasiwe mazuri.....wadau nichukue hatua gani?
 
Mpigie simu au mtumie meseji kwamba unataka umshauri na umwambie ukweli juu ya mshikaji wake, kama inawezekana aje gheto au sehem yyte tulivu, kwa maana anashida lazima atakuja, na hapo ndio pa ku-take advantage
 
Muelekeze njia tu ila kwenda aende mwenyewe. Mwenye akili na afahamu.
 
Achana na ishu za wanaume wenzio.

Deal na mambo yako mkuu.

Wanaume huwa hatuaribiani magepu aiseee, na wanawake huwa hawana shukrani, kumbuka hio itakusaidia sana
 
Achana na ishu za wanaume wenzio.

Deal na mambo yako mkuu.

Wanaume huwa hatuaribiani magepu aiseee, na wanawake huwa hawana shukrani, kumbuka hio itakusaidia sana
Huyu ni Mvulana Mkuu. Bado hajakomaa kuitwa Mwanaume. Kajinasibu mwenyewe kabisa kuwa mimi ni Mvulana.

Hata mambo yake yana harufu ya utoto mwingi. Sema huyu mvulana anataka tu kumuonja mtoto,sasa anatafuta gear ya kuingilia.
 
Huyu ni Mvulana Mkuu. Bado hajakomaa kuitwa Mwanaume. Kajinasibu mwenyewe kabisa kuwa mimi ni Mvulana.

Hata mambo yake yana harufu ya utoto mwingi. Sema huyu mvulana anataka tu kumuonja mtoto,sasa anatafuta gear ya kuingilia.
teh teh teh

kweli aiseee, ishu kama hiyo huwezi kuomba hata ushauri mbele ya wanaume wenzio, maana kama wewe ni mwanaume unajua fika kabisa kuwa kila mwanaume kwenye mahusiano huwa anadanganya, sasa wewe kujitia baba huruma kwenda kutibua chaka la mtu anajipumzikia ni utoto tu.

Huyu bado mtoto.
 
Kawatake wasichana bwana we!!!
Hao hawajui wewe umeniscorpion moyo wangu! kula sili,nikitoa hela nakuona wewe,ubongo wangu umenyambulikanyambulika unakuwaza wewe tu jamani ntakufa mimi
 
Hao hawajui wewe umeniscorpion moyo wangu! kula sili,nikitoa hela nakuona wewe,ubongo wangu umenyambulikanyambulika unakuwaza wewe tu jamani ntakufa mimi
Mazishi lini?
 
Mpigie simu au mtumie meseji kwamba unataka umshauri na umwambie ukweli juu ya mshikaji wake, kama inawezekana aje gheto au sehem yyte tulivu, kwa maana anashida lazima atakuja, na hapo ndio pa ku-take advantage
Hapo naona unatengeneza kugegedana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom