philipo.co Member Joined Oct 6, 2015 Posts 53 Reaction score 6 Dec 29, 2019 #1 Ndugu zangu naombeni mwenye kufahamu zinapopatikana mashine za kufyatulia tofali za udongo ambazo huchomwa. Nimeambatisha picha, ni vyema zaidi nikafahamu na bei ya mashine yenyewe. Shukrani Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu naombeni mwenye kufahamu zinapopatikana mashine za kufyatulia tofali za udongo ambazo huchomwa. Nimeambatisha picha, ni vyema zaidi nikafahamu na bei ya mashine yenyewe. Shukrani Sent using Jamii Forums mobile app
DeepPond JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 43,311 Reaction score 109,520 Dec 29, 2019 #2 Na Mimi pia nazitafuta Sent using Jamii Forums mobile app
Damian J Ntundagi JF-Expert Member Joined Jun 28, 2017 Posts 1,699 Reaction score 2,456 Dec 29, 2019 #3 Kuna watu wanaitwa temso wanapatikana sido ya dar niliwaona sabasaba walikua nazo ila wanatengeneza kwa oda
Kuna watu wanaitwa temso wanapatikana sido ya dar niliwaona sabasaba walikua nazo ila wanatengeneza kwa oda
philipo.co Member Joined Oct 6, 2015 Posts 53 Reaction score 6 Jan 1, 2020 Thread starter #4 Asante bro na bei yao waifahamu? Sent using Jamii Forums mobile app
Jorsiea JF-Expert Member Joined Nov 24, 2017 Posts 222 Reaction score 346 Nov 7, 2021 #5 philipo.co said: Asante bro na bei yao waifahamu? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mkuu ulishaipataga hii mashine?
philipo.co said: Asante bro na bei yao waifahamu? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mkuu ulishaipataga hii mashine?
M Mwakyeja JF-Expert Member Joined May 1, 2015 Posts 675 Reaction score 456 Nov 7, 2021 #6 philipo.co said: Ndugu zangu naombeni mwenye kufahamu zinapopatikana mashine za kufyatulia tofali za udongo ambazo huchomwa. Nimeambatisha picha, ni vyema zaidi nikafahamu na bei ya mashine yenyewe. Shukrani View attachment 1306314View attachment 1306315 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mtafute job Richard yupo humu jf
philipo.co said: Ndugu zangu naombeni mwenye kufahamu zinapopatikana mashine za kufyatulia tofali za udongo ambazo huchomwa. Nimeambatisha picha, ni vyema zaidi nikafahamu na bei ya mashine yenyewe. Shukrani View attachment 1306314View attachment 1306315 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mtafute job Richard yupo humu jf