NiTAPATAJE MEMORY CARD NYEUPE?'

Unanunua feki au kifaa chako kinaharibu card somehow, haiwezekani card 8 zikaharibika. Rangi ya card haina maana yoyote.
 
Unanunua feki au kifaa chako kinaharibu card somehow, haiwezekani card 8 zikaharibika. Rangi ya card haina maana yoyote.

Ivi memory card zinaweza kuharibu simu?
Miaka kama miwili iliyopita mi na jamaa yangu tulinunua memory card dodoma zote zilikuwa 4Gb cha ajabu alivyoweka kwenye samsung galaxy ace ile simu ilizimika jumla na alipopeleka kwa fundi akaambiwa memorycard. Mimi nikaweka kwenye htc, ile kuweka tu simu ika hang app zote. Ila nilipoitoa na kuweka ya mwanzo ikawa fresh. Mpaka sasa sijaelewa how memory card zinaweza haribu simu
 
kiteknolojia rangi haibadilishi chochote
labda kama umetumwa na mganga memori kadi nyeupe, hapo inabidi ununue coral paints upake umpelekeee
 
Unanunua feki au kifaa chako kinaharibu card somehow, haiwezekani card 8 zikaharibika. Rangi ya card haina maana yoyote.

.
Sidhani kama ni kifaa ninachotumia kaka.....
Maana nimetumia hzi sd card kwenye simu tofauti tofauti lakin ni yale yale tuuuu.....
Sijui n nn yani?
 
Baada ya kujua huku jf kuna under 18, huwa siumii kichwa kabisa
 
.
Umedanganya umma.....

Acha fikra za kipumbavu
bado unaamin uchawi upo?

hivi rangi ya memory card inaongeza au kupunguza nini?
wazo kama lako linaweza kutoka kwa watu wawili
1.mtu asiye jua jinsi hivi vitu vinavyo Fanya kazi
2. kwa mganga wa kienyeji

naotea namba 2 inahusika hapa kwako.
 
hivi rangi ya memory card inaongeza au kupunguza nini?
.
We unadhani zile black ni insparation?
.
KINDA WEIRD
.
wazo kama lako linaweza kutoka kwa watu wawili
1.mtu asiye jua jinsi hivi vitu vinavyo Fanya kazi
2. kwa mganga wa kienyeji

naotea namba 2 inahusika hapa kwako.

.
Bado unaamini uchawi
.
KINDA HOLLA
 

Ni kweli kabisa memory card mbaya yaweza kuharibu simu. Kuna baadhi ya memory card zinafanya simu i-stuck lakini kuna ambazo zitaua simu. Mimi mara ya ya mwisho niliiweka kwenye simu nikaona maandishi kwenye screen yanachezacheza na kufifia haraka nilipoitoa ilikuwa ya moto sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…