Nitapata wapi mashine ya kuosha vyombo(dishwasher)

Nitapata wapi mashine ya kuosha vyombo(dishwasher)

LIFE HELP

Senior Member
Joined
Nov 29, 2012
Posts
149
Reaction score
71
Wapi wanauza mashine za kuosha vyombo dish washer kwa Dar ?

Kama unaweza kujua na bei tafadhali nisaidieni
 
Huu uzi wa kitambo imebidi niufufue kuliko kuanzisha mwingine,swali ni lilelile uhitaji ni ulele.
Naweza pata wapi hili dish la kuoshea vyombo.
Ukubwa wa mashine na bei yake.
Nipo Dar.
 
Huu uzi wa kitambo imebidi niufufue kuliko kuanzisha mwingine,swali ni lilelile uhitaji ni ulele.
Naweza pata wapi hili dish la kuoshea vyombo.
Ukubwa wa mashine na bei yake.
Nipo Dar.
Nenda duka kubwa la Samsung au LG.
 
Je hizo mashine zinasugua sufuria zilizopikiwa ugali?
 
Naamin hyo mashine haiwez osha sufuria lililopka ugali hasa wa muhogomahindi
 
Hata ukoko wa wali alimaarufu, sikinde haiwezi kusugua, hii ni kwaajili ya watu wenye mda mchache kuosha au wenye familia kubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom