lingamba lidodi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 964
- 1,137
Kwahiyo mlitegemea kuharibu ili mtafute ufumbuzi? Maana mlishauriwa sanaHuwezi kumuhukumu samaki kwa kushindwa kupanda mti na tunajifunza kutokana na makosa hivyo suala la korosho ufumbuzi wake utapatikana as soon as possible
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa Ni kwakua hujui kilimo hata Cha mchicha tu, UNA HAKI KUYASEMA HAYO!Huwezi kumuhukumu samaki kwa kushindwa kupanda mti na tunajifunza kutokana na makosa hivyo suala la korosho ufumbuzi wake utapatikana as soon as possible
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mtumie na nauli kabisaaaa aje huko kwako kufuata chakula na mavazi hahahaNapatikana Tabora mtaa wa kanyenye njoo kwangu nitakurisha kwa fedha zangu nitakununulia nguo kwa fedha zangu
Watu tuko vizuri ndo maana tunamkubali Rais wetu mlizoea upigaji sasa mmekatiwa mirija mnalia lia apa mnatia huruma tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tetea kula trilion 1.5 tetea 10% kwenye miladi yote mikubwa ikiwemo ununuzi wa ndege ujenzi wa reli, Chato Airport nkMimi bichwa mtoto kwa akili yangu mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote.Naahidi kumtetea Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu John Joseph Magufuli.
Kwa kijana yeyote mzalendo wa Kitanzania ni lazima atakuwa anakubaliana na jinsi Rais wetu mpendwa anavyo chapa kazi.hivyo wewe kijana mzalendo tuungane wote kumtetea Rais wetu huyu. Hawa vijana wa Bavicha ni wachache sana kulinganisha na vijana tuliopo huku mtaani ambao tunamkubali Rais huyu
Kwa pamoja tunasema
Mimi na Tanzania Natembea na Magufuli
#Tembea na Magufuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama watetezi wenyewe ndo wa aina hii si atafungwa huyu mshtakiwa wenu?Hujaona watoto walivyo walaza watu wazima kwenye film internation festival hiyo jana kupitia azam
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi bichwa mtoto kwa akili yangu mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote.Naahidi kumtetea Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu John Joseph Magufuli.
Kwa kijana yeyote mzalendo wa Kitanzania ni lazima atakuwa anakubaliana na jinsi Rais wetu mpendwa anavyo chapa kazi.hivyo wewe kijana mzalendo tuungane wote kumtetea Rais wetu huyu. Hawa vijana wa Bavicha ni wachache sana kulinganisha na vijana tuliopo huku mtaani ambao tunamkubali Rais huyu
Kwa pamoja tunasema
Mimi na Tanzania Natembea na Magufuli
#Tembea na Magufuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kumuhukumu samaki kwa kushindwa kupanda mti na tunajifunza kutokana na makosa hivyo suala la korosho ufumbuzi wake utapatikana as soon as possible
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila nikisoma utetezi wako kwa huyo jamaa yako. Sioni sababu za msingi , kwamba amekosea sana na anahitaji kutetewa ?!Kwa mara ya kwanza 2020 Magufili atapita kwa kishindo kwa sababu kwa maendeleo anayo yafanya sasa hana mpinzani
Maana ya utawala bora ni ile hali ya makubaliano waliyokubaliana kati ya wananchi na viongozi wao kwa jinsi gani watafata sheria zilizotungwa
kwa iyo sisi wananchi ambao kwa wingi wetu tunamkubali Rais wetu tumeukubali utawala huu nyie wachache msitake kutuvurugu kama mmeshindwa tafuteni nchi zingine za kwenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Uteuzi umeisha ndugu!Mimi bichwa mtoto kwa akili yangu mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote.Naahidi kumtetea Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu John Joseph Magufuli.
Kwa kijana yeyote mzalendo wa Kitanzania ni lazima atakuwa anakubaliana na jinsi Rais wetu mpendwa anavyo chapa kazi.hivyo wewe kijana mzalendo tuungane wote kumtetea Rais wetu huyu. Hawa vijana wa Bavicha ni wachache sana kulinganisha na vijana tuliopo huku mtaani ambao tunamkubali Rais huyu
Kwa pamoja tunasema
Mimi na Tanzania Natembea na Magufuli
#Tembea na Magufuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha kishindo cha mabomu na risasi? Utawala bora ni ule unaofuata sheria well said lakini nikuulize swali dogo tu, Hakuna sheria inayoruhusu mikutano ya siasa na maandamano kufanyika? Hii ya kusema kila mtu afanyie kwenye jimbo lake wananchi tulikubaliana lini na viongozi wetu?Kwa mara ya kwanza 2020 Magufili atapita kwa kishindo kwa sababu kwa maendeleo anayo yafanya sasa hana mpinzani
Maana ya utawala bora ni ile hali ya makubaliano waliyokubaliana kati ya wananchi na viongozi wao kwa jinsi gani watafata sheria zilizotungwa
kwa iyo sisi wananchi ambao kwa wingi wetu tunamkubali Rais wetu tumeukubali utawala huu nyie wachache msitake kutuvurugu kama mmeshindwa tafuteni nchi zingine za kwenda
Sent using Jamii Forums mobile app