Soma tu iyo kozi soko lake kwa sasa ni kubwa kuliko iyo electrical,miradi mingi ya maji,mafuta na gesi inayofunguliwa hapa nchini nyinyi ndo mnahitajika nakushaur endelea tu na hiyo kozi na hutojutia.
Kwa kifupi electrician wanaominika sana ni wale wa kuanzia diploma na kuendelea...