INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 1,037
- 1,448
Game la nyoka mkuuWakati mwingine baada ya kazi na shughuli huwa tunaketi na kutumia simu zetu kwa kuchati ,kusikiliza music na vingne.
Wakulu kwa nia ya dhati naomba msaada kujuzwa ni game lipi ni zuri kwa ajili ya kuchallenge akili na pia unambie ni lipi linafanya akili yakk ikae sawa na ku improve.kwani play store yapo mengi ila ndio sijajua lipi liko saf zaidi
Natanguliza shukrani
-all is well-
Sijataka la mpira aisee