Nitaiweka wapi sura yangu

Inawezekana unapenda kutunga stories lkn kabla hujaweka hitimisho ni lazima upangilie vitu viendane. ..kama nyumba mliokuwa mnaishi..ni ghorofa?! Hatujaelewa basi ungeweka maeneo yanayojulikana zaid kuwa na majengo hayo..standard ya maisha je? Ni nzuri, kama ni nzuri kwann mtembee buguruni hlf baba atoke gesti bubu kama pesa IPO!" ? Kasingizia amesafiri . sawa reality ipo wapi kwann hajaenda mbali na hapo..gomz na bugurun si mbali ...na pia kama hamuogopi mama ako anampiga kwann aogope ww kumsema. ...na makosa mengi wakati mwingine rekebisha. Asante
 
Hahahahahaha, Hii Chai au Capacchino? by the way hongera dogo, we una kipaji, ila Setting na mandhari uliyotumia haisadifu kabisa....

Ghorofa Gomz, Bughuruni Guest, atleast mtu anayemiliki Orofa anaweza enda Lodge.....

Chuo labda kama ulikuwa Kampala University, na mtu akizimia anapelekwa hospital sio nyumbani! kwa hiyo baada ya masaa mawili tulitegemea uwe hospitali na sio nyumbani...

Pia umeshindwa kuconsider issue ya foleni, any way utungaji wako mzuri unahitaji kuchange vitu vidogo sana
Cc shigongo
 
Last edited by a moderator:
mshua ali Chepuka

tayta weka picha ya mzee
 
Last edited by a moderator:

Tunaomba sehem ya pili tafadhali
 
Hivi gongo la mboto kuna nyumba ya ghorofa? Manake mie mgeni daslama.
Halafu unazimia chuoni na after two hrs unazindukia nyumbani? Lazma una bodyguards na kahelicopter

teh teh...alisahau bhana,acha arudi pale buguruni malapa apande la kwenda masaki.....
 
Asanteni wote kwa Pole na ushauri mliotoa..nimejifunza vitu vingi sana kupitia comment zenu..Asanten
 
Ila ndoto huwa haziishagi bana, ukiimaliza unakufa mtu wangu wa nguvu
 

hii muvi ilichezwa na nani vile? kama sio ray basi kanumba au mtunisi.
 
umejitahidi kiutunzi......ongeza bidii,,,,, mazishi lini bibie?
 
Onana na Ray umpe script movie inaweza kuwa bomba sana hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…