NIT loan beneficiaries Tukutane hapa

NIT loan beneficiaries Tukutane hapa

andy90

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
270
Reaction score
105
Habar zenu wandugu!
Karibun sana katka hali ya kufahamishana mawili matatu kuhusiana na kuripot chuon na mambo mengine ikiwa wapo miongon mwetu washafika kwenye hii Taasis yetu ya Usafirishaj kujua kinachoendelea bas atujuze

Vile vile kama documents za ku sign boom zshatoka tufahamishane wadau
 
Habar zenu wandugu!
Karibun sana katka hali ya kufahamishana mawili matatu kuhusiana na kuripot chuon na mambo mengine ikiwa wapo miongon mwetu washafika kwenye hii Taasis yetu ya Usafirishaj kujua kinachoendelea bas atujuze

Wadau habarini
 
Broo usajili ni tarehe 16 mwezi huu pia chuo kipo vizuri fika 2,,kwani upo kozi gan? mimi nshachukua admision letter
 
Broo usajili ni tarehe 16 mwezi huu pia chuo kipo vizuri fika 2,,kwani upo kozi gan? mimi nshachukua admision letter

Asante kwa kutujuza kwaiyo adimmision letter na registration zitarudishwa na kufanyika siku ya kufungua chuo ama unatakiwa ufanye reg before?
 
Hiv kuna dogo kachaguliwa chet pale nit.....registration wanalipa sh ngapi
 
Asante kwa kutujuza kwaiyo adimmision letter na registration zitarudishwa na kufanyika siku ya kufungua chuo ama unatakiwa ufanye reg before?
Kuna mwenzenu ali disco hapo mechanical engineering kasome Dogo acha mbwebwe
 
Kwani hao walipata mkopo NIT majina yao yamebandikwa wapi? Na yametokana na lot gani?
Kuna wa education with mathematics hapo wamekosa?
 
Hiv kuna dogo kachaguliwa chet pale nit.....registration wanalipa sh ngapi

kujua registration fee peke yake haitamfanikisha yeye kusajiliwa,, hivyo kinachohitajika yeye kujua ni Ada yote kwa ujumla ambayo ni Tsh. 1,000,000 per year Au waweza lipa Tsh 500000 kwa semister, hizo hujumuisha vitu vyote ikiwamo hiyo registration fee
 
Asante kwa kutujuza kwaiyo adimmision letter na registration zitarudishwa na kufanyika siku ya kufungua chuo ama unatakiwa ufanye reg before?

Ni siku taasis inafunguliwa ndipo unarejesha hiyo admission letter na doc hizo nyingine Kuanzia tarehe 16/11/2015
 
Kwani hao walipata mkopo NIT majina yao yamebandikwa wapi? Na yametokana na lot gani?
Kuna wa education with mathematics hapo wamekosa?

Waangalie website ya loan google: loan allocation 2015/2016
 
Asante Kwa Kutujuza Mwenyewe Nimechaguliwa Hapo Bachelor Ya Logistic Na Nimefanikiwa Kupata Join Na Admission Letter Japo Profile Yangu Ya Nacte Bdo Haijawa Confirmed
 
Asante Kwa Kutujuza Mwenyewe Nimechaguliwa Hapo Bachelor Ya Logistic Na Nimefanikiwa Kupata Join Na Admission Letter Japo Profile Yangu Ya Nacte Bdo Haijawa Confirmed

Hiyo haina shida mkuu,,, sio UDSM hapo,,,,no longo longoo
 
oi me niko mbali na chuo sasa ntapatje join na admission latter au mnifahamishe direct cost wajomba
 
Tupo tupo wanduguu tuendelee peana habar za hapa na paleeee
 
Back
Top Bottom