Nissan extrail

Nissan extrail

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,778
Reaction score
2,052
NATAFUTA GARI: NISSAN X-TRAIL – BAJETI MILIONI 5.5. 00

Habari wanajamii

Natafuta kununua gari aina ya Nissan X-Trail, iwe katika hali nzuri ya matumizi (engine, body, suspension, AC vyote viwe salama). Vigezo muhimu ni:

  • Bajeti yangu ni milioni 5.5 (Tsh)
  • Iwe haitumii mafuta sana na iwe na matunzo mazuri
  • Iwe na nyaraka kamili (kama file la TRA, insurance, na registration)
  • Iwe manual au automatic, zote zinazingatiwa
  • Rangi yoyote, lakini isiwe na ajali kubwa wala kufanyiwa marekebisho makubwa
  • Nipo Morogoro
Kama unayo au unamfahamu mtu mwenye gari linalokidhi vigezo hivi, tafadhali ni-PM
IMG_20251202_230219_675.jpg
 
Baharia, kama vipi nenda kaweke heshima bar! Achana na mambo ya kutaka kununua magari ya bei nafuu, tena kutoka kampuni ya Nissan! Yataishia tu kuua mapema na presha. Bora uufurahishe moyo.
 
Baharia, kama vipi nenda kaweke heshima bar! Achana na mambo ya kutaka kununua magari ya bei nafuu, tena kutoka kampuni ya Nissan! Yataishia tu kuua mapema na presha. Bora uufurahishe moyo.
Nushapata gari kali sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom