Bebii pole shosti,samahani naomba nikulize Umekeketwa? sababu niko na rafiki yangu yeye ni msudani alikua na tatizo linalo fanana na lako yani alikua anatia huruma mwanamme anakuanae hata miezi 6 siku atakayo lalanae ndio kwaheri, Badili tabia Lete vitu Mkubwa! hizi ndio angazzakoooo.