JURGE WALYOBA
Member
- May 14, 2014
- 51
- 8
nili wahi kukukose sana tangu majumba madogo hadi majumba makubwa, sikua mm bali ni shetan alinipitia,si hyo tu hata pindi jua alijachomoza, nilikukosea na kufikia hatua ya kukupiga.im sory for that case,naahidi sinto rudia I LOVE YOU MY SWEET aaaaahahahaha(akaanza kulia).nimekusamehe mpenz wangu ingiwa ulinikosea,umenikosea na utanikosea,but nitakusamehe tena na tena na tena. HAYO YALIKUA NI MAZUNGUMZO KATI YA MUME NA MKE BAADA YA MKE KUMFUMANIA MUMEWE GEUST. unafikiri kwa msamaha alio utoa mke?mwanaume hato rudia kosa?